Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Hivi Mtani we umeshindwaje kuzitumia sa ili tuwe sawa. πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Kubalini tu kwamba hamtuwezi na ndio sababu mapemaa Nyoni akajitokea zake. πŸ˜…πŸ˜… sababu mlilaumu sana kutokuwepo ile mechi ya kwanza.

Sisi tunaamini kwenye kikosi imara na mazoezi.

Ila huu mchezo wa kurogana rogana siyo poa kabisa. Ndiyo maana mnaishia kucheza ligi za ndani.
 
Kombe pekee ambalo Vyura wanaweza kushinda ndani ya miaka 8 ijayo ni kuifunga Simba SC.
Ila hawa Vyura wanadhiki sana mechi ya January 4 waliahidiwa magodoro wakakamia mechi wakapata sare.
Jana wameahidiwa MIL 6 kila mchezaji wamekamia mechi wameshinda. Nina imani siku wakiambiwa mukiifunga SIMBA SC mutalipwa mishahara yenu kila mechi hawa Vyura watatufunga zaidi ya goli 10.
Lau kama mungelikamia mechi za Mbeya City na Coastal Union kama mnavyoikamia Simba SC mungelikuwa munaongoza ligi.
Hongereni wanawake kwa Kupata furaha kwenye siku yenu.
 
cc Shadeeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…