Jf ni kijisehemu tu chance ikipatikana ndio naibuka kama hivi.Mmh sawa hongora kwenu, Ila siku ya mechi ulikimbia hapa.
Bado anaugulia, kama naziona bia zilivyoteseka jumapili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada hivi umenionea wapi huyu ndugu yangu Shunie? [emoji28][emoji28]
Mana kwenye ule uzi wa Mshana kwamba tutafungwa goli 4 alikubali akasema ye ni nani mpaka abishe.
π π π π πBado anaugulia, kama naziona bia zilivyoteseka jumapili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli asee, kwa sasa sina cha kusema ila sisi huwa tunakubali matokeo sio nyie mkifungwa tu malalamiko kibao.Jf ni kijisehemu tu chance ikipatikana ndio naibuka kama hivi.
Pole lakini ndio mpira. Na pia katika vichekesho nilivyovipata kwenye huu uzi na vya kwako vipo. π π π
Aah sema ukweli bana ulikimbia asee mbna mimi kote nilikuwepo muache nidham ya wago banaπ πDuuh!! Yaani niache kufurahia mpira Uwanjani nije jf. Lol.
Nyie wenyewe ni walalamikaji wazuri tu na kilichowanyamazisha ni vile sheria zilifuatwa bila kupindishwa.Kweli asee, kwa sasa sina cha kusema ila sisi huwa tunakubali matokeo sio nyie mkifungwa tu malalamiko kibao.
ππ Et vichekesho.!!
Daah!! Hayo unayaweza wewe ila mi siwezi aisee yaani niache kuimba na kufuatilia ya Uwanjani nianze kuhangaika na Jf sa nakuwa nimefuata nini huko?Aah sema ukweli bana ulikimbia asee mbna mimi kote nilikuwepo muache nidham ya wago banaπ π
πππ Mkishindaga tu basi hamuwezekanagi tena ushindi wenyewe uwege wa ndondokela kama huu mmh!!Nyie wenyewe ni walalamikaji wazuri tu na kilichowanyamazisha ni vile sheria zilifuatwa bila kupindishwa.
Ndio muna vichekesho humo mi jana sikuupitia huu uzi nikaona. ππ Leo ndio nikaona hebu nipitie nione watu waliandika nini. π π
Ukishandinda tu hukosi hojawewe,Daah!! Hayo unayaweza wewe ila mi siwezi aisee yaani niache kuimba na kufuatilia ya Uwanjani nianze kuhangaika na Jf sa nakuwa nimefuata nini huko?
Ukiniona nahangaika na nyuzi za mpira wa live ujue sipo Uwanjani na pia mishe zangu hazijanibana.
π π πUkishandinda tu hukosi hojawewe,
Yap tuombe uzima. Na hiyo mechi mkija tena kibweg* bweg* lazima tuwakalishe. πππMungu ajaalie tukutane tena FA tuone burudani ya soka safi.
Hahahaaa. Ushindi wa hivi ndio mzuri mana lazima uumize kichwa ilikuwaje sijakam baki. π ππππ Mkishindaga tu basi hamuwezekanagi tena ushindi wenyewe uwege wa ndondokela kama huu mmh!!
Haya ngoja tusubiri FA panapo uhai
uniache. πAkiwemo OKW BOBAN SUNZU . π
Huyo jamaa sijui kajificha wapiAkiwemo OKW BOBAN SUNZU . π
Hata sikuachi. π π πuniache. π
Yupo nawaza sijui sura yake aliificha wapi jana. πHuyo jamaa sijui kajificha wapi
Mbona hujatoka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo mkishnda Natoka JF
Doh!! π Sawaa.π π π Yap tuombe uzima. Na hiyo mechi mkija tena kibweg* bweg* lazima tuwakalishe. πππ
Inakera kuchkua ubingwa bila kumla chura.
Ila sio isue tunawaweka kiporo ipo siku yenu,acha kwanza tuchkue ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa kumbe π,OKW BOBAN SUNZU kumbe umeukubali muziki wa morrisonYupo nawaza sijui sura yake aliificha wapi jana. π