Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Naaaaaaam timu zinaingia Uwanja tayari kuanza mtanange huu wa VPL

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli yupo ndani ya Uwanja wa Taifa

Yes timu zipo uwanjani zinakaguliwa na kupiga picha za kumbukumbu tayari kuashiria kuanza mchezo

Naaaaaaam mpira umeanza safari ya dakika 90 kwa watani wa Jadi, Yanga Vs Simba

00' Yanga SC 0-0 Simba SC
 
05' Mpira umeanza kwa kasi huku mashambulizi kwa pande mbili, Nchimbi anakosa nafasi na Chama kwa upande wa Simba

Yanga SC 0-0 Simba SC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…