Tuwe pamoja kwa updates
Kikosi cha Simba
Kikosi cha Al Masry
Wachezaji wanaingia uwanjani, muda wowote mpira utaanza..
00'Mpira umeanza
01'Mpira unaonekana kuanza kwa kasi kila timu
02'Al Masry wanapata kona ya kwanza.
03' Okwi anapoea pasi na kuwachachafya Al masry lakini anadhibitiwa
05'Mkude anamtangulizia Okwi lakini anachelewa
06'Gyan anapiga kros inakuwa ni kona, inapigwa lakini inakuwa kona nyingine
07'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
08' anaipiga Bocco.
Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
John Raphael Bocco anaitanguliza simba kupitia Mkwaju wa Penat
11' Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Al Masry wanasawazisha kupitia kwa Mohammed Goma baada ya kupokea kross moja nzuri na kuinganisha moja kwa moja golini. Simba 1, Al Masry 1
13'Faul inapigwa kuelekea simba.
15'Al Masry wanatoa sana mipira nje ili kupunguza spidi
19'Simba sasa wanapigiana wenyewe kwa wenyewe
20' Kuna mchezaji wa Al Masry yuko chini na anagangwa, wachezaji wanakunywa maji na kupewa maelekezo na makocha
25'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Ahmed Abdallah anaizamisha wavuni kwa mkwaju wa penat
30'Mpira sasa unaenda kwa kawaida japo Okwi amekuwa anapata wakati mgumu kupenya ngome ya Al Masry.
37'Faul inapigwa kuelekea al masry. Anaipiga Okwi na GK anadaka
38'Simba wanaendelea kumiliki mpira na wanajikuta off side.
41'Simba wanapata kona ya 3
43'Al Masry wanashambulia hapa kwa kichwa lakini anaidaka vizuri Golikipa Manula.
45'Shiza Kichuya anaonyeshwa kadi ya njano.
45+3' Al Masry wanapiga mshuti mkuuubwa lakini unatoka nje.
Mpira ni Mpunziko
45'Kipindi cha pili kimeanza
46' Free kick kuelekea simba
47' Mpira sasa una kasi kweli kweli
49'Faul inapigwa kuelekea simba, ni karibu na 18. inapigwa na inakuwa ni kona
50'Asante kwasi yuko chini na anagangwa.
Mohammed Ahmed ameoneshwa kadi ya njano.
55' Shomari Kapombe anapiga kros moja nzuri, kwasi anaikosakosa
57'Erasto Nyoni anaonyeshwa kadi ya njano.
58' Kichuya anapiga shuti moja kuuubwa golini lakini linatoka nje.
59' Free Kick kuelekea Al Masry, anapiga Kichuya almanusra simba ipate goli
61'Anatoka John Raphael Bocco anaingia Laudit Mavugo.
64'Emmanuel Okwi anafanya jaribio zuri baada ya kupokea pasi kutoka kwa Nicolaus Gyan na kuipiga golini lakini ikagonga mwamba.
68' Simba wanajitahidi kulazimisha kupata bao, Okwi anapiga shuti lakini linatoka nje.
71' Anatoka Yusuph Mlipili, anaingia Said Hamis Ndemla
73'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
Inapigwa na Emmanuel Arnold Okwi
Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anaizamisha shuti kali wavuni baada kupiga mkwaju wa penat; simba 2, Al Masry 2.
80'Taa zimezimika uwanja wa Taifa, mpira umesimama
95' Mpira unaendelea, uwanja una maji mengi
98' Okwi yupo chini na anauguza mguu
Mpira umekwisha. Simba 2, Al Masry 2
Kikosi cha Simba
Kikosi cha Al Masry
00'Mpira umeanza
01'Mpira unaonekana kuanza kwa kasi kila timu
02'Al Masry wanapata kona ya kwanza.
03' Okwi anapoea pasi na kuwachachafya Al masry lakini anadhibitiwa
05'Mkude anamtangulizia Okwi lakini anachelewa
06'Gyan anapiga kros inakuwa ni kona, inapigwa lakini inakuwa kona nyingine
07'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
08' anaipiga Bocco.
Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
John Raphael Bocco anaitanguliza simba kupitia Mkwaju wa Penat
11' Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Al Masry wanasawazisha kupitia kwa Mohammed Goma baada ya kupokea kross moja nzuri na kuinganisha moja kwa moja golini. Simba 1, Al Masry 1
13'Faul inapigwa kuelekea simba.
15'Al Masry wanatoa sana mipira nje ili kupunguza spidi
19'Simba sasa wanapigiana wenyewe kwa wenyewe
20' Kuna mchezaji wa Al Masry yuko chini na anagangwa, wachezaji wanakunywa maji na kupewa maelekezo na makocha
25'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Ahmed Abdallah anaizamisha wavuni kwa mkwaju wa penat
30'Mpira sasa unaenda kwa kawaida japo Okwi amekuwa anapata wakati mgumu kupenya ngome ya Al Masry.
37'Faul inapigwa kuelekea al masry. Anaipiga Okwi na GK anadaka
38'Simba wanaendelea kumiliki mpira na wanajikuta off side.
41'Simba wanapata kona ya 3
43'Al Masry wanashambulia hapa kwa kichwa lakini anaidaka vizuri Golikipa Manula.
45'Shiza Kichuya anaonyeshwa kadi ya njano.
45+3' Al Masry wanapiga mshuti mkuuubwa lakini unatoka nje.
Mpira ni Mpunziko
45'Kipindi cha pili kimeanza
46' Free kick kuelekea simba
47' Mpira sasa una kasi kweli kweli
49'Faul inapigwa kuelekea simba, ni karibu na 18. inapigwa na inakuwa ni kona
50'Asante kwasi yuko chini na anagangwa.
Mohammed Ahmed ameoneshwa kadi ya njano.
55' Shomari Kapombe anapiga kros moja nzuri, kwasi anaikosakosa
57'Erasto Nyoni anaonyeshwa kadi ya njano.
58' Kichuya anapiga shuti moja kuuubwa golini lakini linatoka nje.
59' Free Kick kuelekea Al Masry, anapiga Kichuya almanusra simba ipate goli
61'Anatoka John Raphael Bocco anaingia Laudit Mavugo.
64'Emmanuel Okwi anafanya jaribio zuri baada ya kupokea pasi kutoka kwa Nicolaus Gyan na kuipiga golini lakini ikagonga mwamba.
68' Simba wanajitahidi kulazimisha kupata bao, Okwi anapiga shuti lakini linatoka nje.
71' Anatoka Yusuph Mlipili, anaingia Said Hamis Ndemla
73'Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
Inapigwa na Emmanuel Arnold Okwi
Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anaizamisha shuti kali wavuni baada kupiga mkwaju wa penat; simba 2, Al Masry 2.
80'Taa zimezimika uwanja wa Taifa, mpira umesimama
95' Mpira unaendelea, uwanja una maji mengi
98' Okwi yupo chini na anauguza mguu
Mpira umekwisha. Simba 2, Al Masry 2