Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Afadhali maana nilikuwa nazomewa balaaa
Mwenyewe nilikuwa nimeboreka kinouma mkuu.....

Naona uwanjani ni kiza...... kuna namna hapa simba wanataka kuweka ndumba....

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Taa zimezima hapo, nasikia bonge moja la mvua linanyesha .... mtafutano hapo ndani duuu
 
Back
Top Bottom