Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Afadhali maana nilikuwa nazomewa balaaa
Mwenyewe nilikuwa nimeboreka kinouma mkuu.....

Naona uwanjani ni kiza...... kuna namna hapa simba wanataka kuweka ndumba....

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Taa zimezima hapo, nasikia bonge moja la mvua linanyesha .... mtafutano hapo ndani duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…