Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

CD ya Wimbo Wa Taifa wa BRAZIL mwaka 2009 ilimtumbua FLORIAN KAIJAGE pale TFF Wakati Huo Hakukuwa na Wazee Wa Misifa na Matamko!!!

Je hili la KUZIMIKA KWA TAA Katika Awamu hii Ya Misifa, Kiki na Matamko si Pataundwa Filamu Kabisa Ya Kutumbuatumbua?

Nadhani Bashite, Mkuu, Karia na Mwakyembe kila Mmoja Kashatayarisha list Yake Ya Atakaowatumbua Kwenye Mkutano wake na Waandishia Wa Habari.

[HASHTAG]#Scapegoats[/HASHTAG] jiandaeni kisaikolojia kulala na njaa.
 
Aiiiiiiiiiibu uwanja mkubwa wa kimataifa hauna standby generator ,tff shame on u
 
Sasa vituo vya television vya nje vinavyoonyesha hii mechi vinasemaje?
 
Hongera sana Wachezaji wa Simba pamoja na Wadau wooote kwa Matokeo ya leo.
 
Tujenge utaratibu wa kuchezesha mechi za kimataifa saa nne mchana kukwepa aibu ya kukatika umeme. CCM oyee.
 
Waarabu kwa ALBADIR ni balaa, yaani baada ya kuona wamezidiwa kuna mmoja alikuwa amening'inia kwenye mkeka hewani, amepiga kisomo mpaka umeme unakatika.
 
Ila jamanii MVUA ni kubwa sana acheni masihara + miradi yote hii hata wao wenyew wasingekua comfortable

bora tuu ulivyokatika umeme, hivyo

yaan hapa viti vimevunjwa hatari
 
Back
Top Bottom