Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Lolote linawza kutokea.. Hata sare, hadi sasa wapi tumefungwa?Lolote linaloweza kutokea ni Simba kufungwa tu hamna namna
Unafikiri Chura aliyechezeshwa makirikiri? This is Simba SC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolote linawza kutokea.. Hata sare, hadi sasa wapi tumefungwa?Lolote linaloweza kutokea ni Simba kufungwa tu hamna namna
basi mmepata kauchochoro ka kujisifia mnatamba kweliLolote linawza kutokea.. Hata sare, hadi sasa wapi tumefungwa?
Unafikiri Chura aliyechezeshwa makirikiri? This is Simba SC
Na Chura akienda Botswana anapigiwa Makirikiri.. [emoji16] [emoji16] [emoji16]Simba akienda Misri anapigwa Hamsa
Ina maana hakuna stand by generator? Waziri husika afukuzwe, mnaamua kucheza usiku na mnaujua umeme wa Tanzania plan B Ilikua nnyaani umeme umekata?
HahahahaWaarabu kwa ALBADIR ni balaa, yaani baada ya kuona wamezidiwa kuna mmoja alikuwa amening'inia kwenye mkeka hewani, amepiga kisomo mpaka umeme unakatika.
lakini uwanja ni wa serikali sio tff, tatizo ni hao simba kujitia kutaka kucheza usiku, wakijua umeme wetu wa ugokoni, caf wasije wakaufungia mechi za usiku.Hii ni aibu kubwa TFF, ni mara ya pili umeme umekatika. Mara ya kwanza ni hile fainali ya Cecafa na leo tena umekatika.
TFF watazamwe vizuri, ni aibu uwanja kama ule kukosa standby genereta.
Ila jamanii MVUA ni kubwa sana acheni masihara + miradi yote hii hata wao wenyew wasingekua comfortable
bora tuu ulivyokatika umeme, hivyo
yaan hapa viti vimevunjwa hatari
Ilikuwa wapigwe la tatu, wakashusha mvua. Matopeni noma sana.Yanga wachawi sana.
Hapa Kazi Tu.Hii ni aibu isiyokua na kifani! Umeme kukatika wakati mechi ya kimataifa ikichezwa! Siasa za Tanzania sasa zimefikia hatua mbaya.
endelea kukariri,
Tunawasubiri uwanja wa ndege huku misri muwatoe nishai hao thimbaKila la kheri Al Masry timu ya wananchi. Hapa Misri tunawaombea mrudi na ushindi wa kishindo. Mkipgwa tutakosa usingz hku Misri maana tangu Jana hatuli wala hatunywi.