Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,301
- 1,738
Bado tu huna wasiwasi nae?Sina wasi wasi na okwi kwenye suala la nyavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tu huna wasiwasi nae?Sina wasi wasi na okwi kwenye suala la nyavu
Usema kweli leo tumezingua sana maana wale jamaa wakitia pass moja ndefu kwenda mbele ni bao.....Leo pasi moja goli
Inabidi tuwe na jukwaa letu humu waarabuTupo wengi sana sheikh karibu Al mAsry
Oyaa,vipi mwana??Simba anatafuna Mtu leo taifa...watani msijali mtasahau machungu yenu leo kwa ushindi wetu!!
Tuungane kwa pamoja kuishabikia simba ,timu ambayo imesalia kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.
Ila wabotswana ni midebwedo sana yaniHii quote yako utaijutia Leo..
Waarabu c watu wasportsport kudadadeki
Walifikiri wanacheza na mbao fcLeo wamezingua sana kwa kweli....
Wachezaji wote wamekosa morali naona kichuya pia kafichwa kabisa leo makeke yake sijayaona kabisa....
Mbao dawa ya vyura, ile Jana walipoona jezi za makiriri znafanana na mbao pressure ikawapanda wakafungwaWalifikiri wanacheza na mbao fc
[emoji12] [emoji12] [emoji12] imenibidi nicheke thou na machungu yangu hapa mkuu but ngoja tuone kama kutakuwa na mabadiliko yoyoteWalifikiri wanacheza na mbao fc
Unamkubuka mbao kwa kuwa alikugonga viwili ukiwa umeshika ukutaWalifikiri wanacheza na mbao fc
Duuh pole sana kaka ake.Waone wamekata umeme huku aisee tusione mnyama akifungwa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
59' Free Kick kuelekea Al Masry, anapiga Kichuya almanusra simba ipate goli