OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Zimba tunatisha kama njaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vibonde kama vibonde waliokua wanacheza janasijawahi kuona timu dhaifu kama ile tangu nizaliwe sijui hawa vibonde wametoka wapi!!! nafikiri wamekosea wakaleta timu yao ya wanawake ndio maana ina jina la MARIA hivyo msijisifu saaana mkaona mlikuwa mnacheza na timu
Hili hapa goli la Okwi jamaa ni Genius kwakweli
El Masry nyoni atapata red cardKaka vaa ata ya Chelsea ila Simba wa sasa katoroka Serengeti hivyo ana vunja vunja kila kilicho mbele yake.
Basi jana walicheza na vibonde wengine, nyumbani alafu unamfunga kibonde 1 tena la kubahatisha??Ni vibonde kama vibonde waliokua wanacheza jana
Atakuwa anaharisha mfululizoHivi wewe [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] unajisikiaje sasahivi hapo ulipo?
Ni aibu sana afu Leo wanakuja na vimaneno eti simba kashinda 4 sabb n vibonde poor vyuraBasi jana walicheza na vibonde wengine, nyumbani alafu unamfunga kibonde 1 tena la kubahatisha??
Tatizo lilianzia hapa ndo maana OKW SUNZU BOBAN akaamua kukuzingua.wanacheza na maiti, you can not boast of winning against such a rubbish team! I am a Simba fun, a staunch one, but I am sorry I have to confess the reality! Najua hutapenda.
Ananizingua wapi mbona matusi nami ndiyo pake. Ni kujiheshimu tu. Tatizo ukitoa punch moja unafungiwa. Nadhani hakuna asiyejua matusi mabaya, ni kjiheshimu. Kuna watu humu wanaonekana kama wana busara lkn kumbe matatizo. Nina rafiki yangu aliachana na JF kuwa hakuna mtu wa kudiscuss naye. Ni wa mwanzo wakati JF bado inakata intellectual issues!Tatizo lilianzia hapa ndo maana OKW SUNZU BOBAN akaamua kukuzingua.
Pole mkuu.. Naingia kulala kwa sasa tukutane mida ya wanga [emoji16] [emoji4]
Nizingue mkuu. Naona unajitunisha na kutangatanga kutafuta nguzo ya kushikiza. Huu uzi ni Simba 4: Genda 0,Simba timu kigogo barani. Tafuta matokeo ya ConsiderationAnanizingua wapi mbona matusi nami ndiyo pake. Ni kujiheshimu tu. Tatizo ukitoa punch moja unafungiwa. Nadhani hakuna asiyejua matusi mabaya, ni kjiheshimu. Kuna watu humu wanaonekana kama wana busara lkn kumbe matatizo. Nina rafiki yangu aliachana na JF kuwa hakuna mtu wa kudiscuss naye. Ni wa mwanzo wakati JF bado inakata intellectual issues!
Nitamzingua kama moderators hawakumzingua nitamzingua!