Uwanja wa Taifa: Simba SC 4-0 Gendarmarie Nationale FC, Kombe la Shirikisho Barani Afrika

Mashabiki ni wengi sana hapa uwanja wa Taifa wakichagizwa na ubora wa timu ya Simba SC
 
Naona upo uwanjanai. Umeamka saa ngapi? Mimi nimeacha, nimesubmit hivyo nalala sasa
 
Naam mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa

01' Simba SC 0-0 Gendarmarie Nationale FC
 
mkuu mbona una chelewa ku type goal... au ume patwa na mzuka wa ghafla....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…