Good, umempa jibu mujarabu. Wakati mwingine timu zetu zikizidiwa kimbinu ama kiuwezo hebu tu admit, siyo kukomaa tu na ushabiki was kishamba.Kuto wafunga mbao CCM kirumba sio kwa sababu tulikuwa ugenini bali tuna kuwa tumezidiwa kimchezo kwa siku hiyo.