Uwanja wa Taifa: Vodacom Premier League VPL, Yanga 1 SC Vs 0 Mbao FC

Uwanja wa Taifa: Vodacom Premier League VPL, Yanga 1 SC Vs 0 Mbao FC

Jesse: Mwalimu kashasha unalizungumziaje goli la Ajibu

Kashasha: Ajibu amepiga dynamic rocket shot yani kabla ya kupiga alimuangalia kipa akamuona yuko off position yeye akalitengeneza goli katika pembe tatu kisha akaitafuta ile nyuzi 60 ya juu kisha akabend na kutanua mikono kama anavyofanya eagle anapotaka kuruka ili kupata full body balance alafu akapiga hyo shot with full gas at his foot inasemekana shuti ilikuwa linasafiri at 200km/s yani hata kama kungekuwa na makipa 3 golini wangefungwa tu na huyu shagalabagala kama angeufikia ule Mpira basi Baada ya kurudi chini Angeweza kupata stroke au heart attack ndio mana aliruka kiushahidi tu kuondoa lawama but all in all this is a PUSKAS goal[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

kwako Jesse
😂😂😂😂😂 hatari sana Swahiba.
 
Jesse: Mwalimu kashasha unalizungumziaje goli la Ajibu

Kashasha: Ajibu amepiga dynamic rocket shot yani kabla ya kupiga alimuangalia kipa akamuona yuko off position yeye akalitengeneza goli katika pembe tatu kisha akaitafuta ile nyuzi 60 ya juu kisha akabend na kutanua mikono kama anavyofanya eagle anapotaka kuruka ili kupata full body balance alafu akapiga hyo shot with full gas at his foot inasemekana shuti ilikuwa linasafiri at 200km/s yani hata kama kungekuwa na makipa 3 golini wangefungwa tu na huyu shagalabagala kama angeufikia ule Mpira basi Baada ya kurudi chini Angeweza kupata stroke au heart attack ndio mana aliruka kiushahidi tu kuondoa lawama but all in all this is a PUSKAS goal[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

kwako Jesse
Jesse: Mwalimu kashasha unalizungumziaje goli la Ajibu

Kashasha: Ajibu amepiga dynamic rocket shot yani kabla ya kupiga alimuangalia kipa akamuona yuko off position yeye akalitengeneza goli katika pembe tatu kisha akaitafuta ile nyuzi 60 ya juu kisha akabend na kutanua mikono kama anavyofanya eagle anapotaka kuruka ili kupata full body balance alafu akapiga hyo shot with full gas at his foot inasemekana shuti ilikuwa linasafiri at 200km/s yani hata kama kungekuwa na makipa 3 golini wangefungwa tu na huyu shagalabagala kama angeufikia ule Mpira basi Baada ya kurudi chini Angeweza kupata stroke au heart attack ndio mana aliruka kiushahidi tu kuondoa lawama but all in all this is a PUSKAS goal[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

kwako Jesse
😀😀😀😀
 
Ndioo Sesten. Mpaka kieleweke mwaka huu.

Kwani nyie hampanii mkicheza na vitimu vidogo?
Sisi timu zoote pamoja na Yanga yenu zinatupania kwenye mechi tunazocheza nao

Wenyewe tunakua tume relax tunacheza soka la kufundishwa unaloliona kule Spain tu
 
Mie naona kama bado mapema.sana, au wewe unaonaje. Au ligi inaweza sitishwa mapema kwa kukosa udhamini halafu Yanga akatangazwa fasta kuwa bingwa.
NI KWELI JAPO MAPEMA ILA TUMEJIPANGA VILIVYO
 
Back
Top Bottom