Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kaharufu ka figisu hapa. Anyway ngoja tuone inakuwajesasa ule waliochezea jana namungo na huo wa uhuru upi bora...?
Aibu sana, yaani uwanja wa Uhuru unazidiwa na Mbarali estate, Karatu, Gwambina. Halafu uwanja kama ule wakaweka nyasi bandia za ubora wa chini kabisa bora hata Nyamagana Mwanza. Nchi hii Serikali bado haijawa siriasi na michezo.
pacome mimi acha dharauSimba nendeni Mkwakwani.
Kivipi MkuuYanga na Simba wakijenga viwanja vyao kiburi cha tff kitayeyuka
Ule uwanja wa jeshi ,sio wa Tff wala nani ,wenyewe ktk mashindano yao ya majeshi unawafaaAibu sana, yaani uwanja wa Uhuru unazidiwa na Mbarali estate, Karatu, Gwambina. Halafu uwanja kama ule wakaweka nyasi bandia za ubora wa chini kabisa bora hata Nyamagana Mwanza. Nchi hii Serikali bado haijawa siriasi na michezo.
Tff hata uwanja uwe wako,kuna % wanachukuaYanga na Simba wakijenga viwanja vyao kiburi cha tff kitayeyuka
Simba ana uwanja wa mazoezi mkuu,Ni aibu kwa vilabu vikubwa na vikongwe kama Yanga na simba kukosa viwanja vyao binafsi kwa ajili ya mazoezi na mechi. Miaka zaidi 80 tangu vilipoanzishwa, ni umri wa binadamu aliyekula chumvi nyingi.
Haiwezekani kwa timu changa kama Azam, Ihefu, Namungo, Mtibwa, nk zina viwanja vyao! Halafu Yanga na simba wanahangaika miaka nenda kutafuta maeneo ya kufanyia mazoezi, na pia kuchezea mechi zao.
Kwa mtazamo wangu naona bado na wenyewe haujafikia viwango vya kuitwa uwanja wa mazoezi kwa timu kubwa na kongwe kama simba.Simba ana uwanja wa mazoezi mkuu,