Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Tatizo sio kuchukua asilimia bali mamlaka ya kuutumia watakavyo
Tff hata uwanja uwe wako,kuna % wanachukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tff hata uwanja uwe wako,kuna % wanachukua
Tff hata uwanja uwe wako,kuna % wanachukua
Serikali haitaki.Ni aibu kwa vilabu vikubwa na vikongwe kama Yanga na simba kukosa viwanja vyao binafsi kwa ajili ya mazoezi na mechi. Miaka zaidi 80 tangu vilipoanzishwa, ni umri wa binadamu aliyekula chumvi nyingi.
Haiwezekani kwa timu changa kama Azam, Ihefu, Namungo, Mtibwa, nk zina viwanja vyao! Halafu Yanga na simba wanahangaika miaka nenda kutafuta maeneo ya kufanyia mazoezi, na pia kuchezea mechi zao.
Bunju ni private stadium ya MoNadhani ni muda sahihi wa kuhoji kuhusu ile michango yetu ya kujenga uwanja tuliyochangishwa na Muddy
Haumilikiwi na Club ule uwanja.Simba ana uwanja wa mazoezi mkuu,
Mhhh! Ni WA nani?Haumilikiwi na Club ule uwanja.
Mo Deuji. Siku Utawala wake ukikoma utaona.Mhhh! Ni WA nani?
Na watu kweli wakaingia mkenge. Nawaambiaga watu pesa ipo hapa hapa bongo coz wajinga bado wengi ni kuwa na akili kidogo tu kama ilivyo kwenye manabii, waganga, viongozi wa Simba na yangaNa tulichanga buku buku zetu za uwanja nadhan wanakamilisha sasa huko bunju
Tatizo Yanga na Simba wapo mchwa wanaovitafuna hivi vilabu chini kwa chini, ni suala la muda tu tutaona vilabu vimeanguka hivi endapo hatua za makusudi hazitachukuliwa kunusuru haliNi aibu kwa vilabu vikubwa na vikongwe kama Yanga na simba kukosa viwanja vyao binafsi kwa ajili ya mazoezi na mechi. Miaka zaidi 80 tangu vilipoanzishwa, ni umri wa binadamu aliyekula chumvi nyingi.
Haiwezekani kwa timu changa kama Azam, Ihefu, Namungo, Mtibwa, nk zina viwanja vyao! Halafu Yanga na simba wanahangaika miaka nenda kutafuta maeneo ya kufanyia mazoezi, na pia kuchezea mechi zao.
HahahahahahahaMo Deuji. Siku Utawala wake ukikoma utaona.
Kwahy mzee baba una maanisha zile tumepigwa?Na watu kweli wakaingia mkenge. Nawaambiaga watu pesa ipo hapa hapa bongo coz wajinga bado wengi ni kuwa na akili kidogo tu kama ilivyo kwenye manabii, waganga, viongozi wa Simba na yanga
Hauamini?Kwahy mzee baba una maanisha zile tumepigwa?
Seriously!Hahahahahahaha
Atazua zengwe maana hela ya kununua kiwanja nakumbuka ali iitafuta Aden Rage kipindi mwenyekiti, hii sasa unayoniambia ni mpyaSeriously!
Mwamba ndio ametoa mpunga pale na hajawahi ku declare kabisa kama ni sehemu ya ile 20B aliyowekeza.
Nyie simlishindwa kuzila? Mliona wapi uwanja unajengwa kijingwa hivyoKwahy mzee baba una maanisha zile tumepigwa?
Fifa wame kataa nyasi bandia kwenye mashindano yanayo wahusu wao uku kwenye FA za nchi husika Bado vinatumika .Ila FIFA hawataki tena nyasi bandia.
Mambo ya mazingira