uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Nilihudhuria event ya kuzindua huo uwanja 2020.Atazua zengwe maana hela ya kununua kiwanja nakumbuka ali iitafuta Aden Rage kipindi mwenyekiti, hii sasa unayoniambia ni mpya
Nina uhakika siku udhamini wa Mo unafikia kikomo, hiko kiwanja kitaleta mgogoro sana.
Na huyo mwamba ni msanii mzuri.