Uwaziri siyo jinsia; haiwezekani kisa Jinsia tuwe na Mawaziri wabovu. Ili tusonge mbele tunataka viongozi makini bila kujali dini wala jinsia

Uongozi hauna Jinsia... Hatuhitaji Mwanamke au Mwanaume aongoze majeshi ya ulinzi anyone can be as long as s/he will be available and able to serve...

Mimi nikiugua sihitaji Daktari Mwanaume au Mwanamke ninahitaji Daktari anayeweza na bora ndiye anitibu. Usitafsiri agenda 50/50 kama Charity..

Agenda 50/50 ni kuleta equal opportunities kwa wanawake na kuwajengea uwezo wa kuchagua na prosper kwenye chaguzi zao. Haimaanishi kila sehemu tutataka kuwe na 50/50

Ukija kwenye Udini Nakuona kama unataka shari tu.. Zanzibar is a full fledged state.. ina Maeneo mengi inapohitaji best minds to function.. almost all the best in Zanzibar get absorbed into the government..

Ukija Bara.. Elimu imekawia kwa Islam communities, ukiita Mainjinia 1000 hardly utapata 200 ni ni waislamu.. haimaanishi sio best ila the competition is high.. and as a leader you need the best to serve. If they don't make it kwenye mchujo its understandable.

Tuliwekeza mno kwenye Madrasa tukasahau elimu dunia ambayo unfortunately ndiyo inayohitajika kwenye utendaji wa kila siku.
 
Umeeleza bayana sana! Asipokuelewa Atakuwa na tatizo!
Elimu dunia na elimu ahera!
 
Hapa umedharaulika.

statement duni sana hii.
Hivi kwenye kampeni zilizopita ulisikia mpinzani hata mmoja aliyelaum waziri badala ya Rais!?
Lawama zote si alipewa Rais? Sasa kwanini unampangia mawaziri tofauti na wenye uwezo anaowaamini?
 
Ndugu yangu usijali haya ni mambo ya mpito. Kila kiongozi anakuwa na ajenda zake, hivyo tuwaache wafanye kazi ya kulitumikia taifa.
 
Mkuu umesema vema kabisa. Na ni kweli tupu. Wakati mwingine usitumie neno "UHUWIANO" maana sio kiswahili.. tumia Uhusiano au Uwiano hayo ndio maneno sahihi ya kiswahili sanifu. Nikutakie Asubuhi Njema Mkuu.
Shukurani mkuu Kamukhm. Dah... kweli elimu haina mwisho.
 
Hivi kwenye kampeni zilizopita ulisikia mpinzani hata mmoja aliyelaum waziri badala ya Rais!?
Lawama zote si alipewa Rais? Sasa kwanini unampangia mawaziri tofauti na wenye uwezo anaowaamini?
Kwa hiyo tusubiri avuruge ndo alaumiwe au aambiwe ukweli ili akiharibu ajihukumu?

Mimi nafikiri tujenge 'ufa' huu asipotaka, ukuta ukidondoka umuangukie kihalali.
 
Wapo ndiyo hao wameteuliwa tayali
Sasa kama ishu ni uwezo na wapo wanawake wenye uwezo kuna ubaya gani kuteua wanawake wenye uwezo asilimia 50% na wanaume wenye uwezo asilimia 50% ili kuunda baraza la mawaziri la asilimia mia?
 
Jiwe hovyo kabisa na ataendelea kutumia nguvu nyingi sana aonekane anafanya cha maana lakini mwisho ataaibika vibaya.
 
Jiwe hovyo kabisa na ataendelea kutumia nguvu nyingi sana aonekane anafanya cha maana lakini mwisho ataaibika vibaya.
Kwa kuacha kuteuwa wanawake wengi au kina Shyrose hamridhikagi! Awamu hii mtulie kwanza
 
Haya mambo yanatutesa sana, kwenye baraza la mawaziri tunataka uwiano wa kidini, kwenye timu ya taifa uwiano wa kidini, kwenye ajira uwiano wa kidini, kwanamna hii hatuwezi fika popote.
Enz za kikwete mbona mlipiga kelele.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Jiwe hakuona weupe wa kuwapo vyeo
 
Hapo umenena,hakuna haja ya kubalance jinsia au dini,,tunaangalia uwezo wa kuwa kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…