Uongozi hauna Jinsia... Hatuhitaji Mwanamke au Mwanaume aongoze majeshi ya ulinzi anyone can be as long as s/he will be available and able to serve...
Mimi nikiugua sihitaji Daktari Mwanaume au Mwanamke ninahitaji Daktari anayeweza na bora ndiye anitibu. Usitafsiri agenda 50/50 kama Charity..