SoC04 Uwekezaji kwenye sanaa na michezo kupunguza wimbi la tatizo la ajira

SoC04 Uwekezaji kwenye sanaa na michezo kupunguza wimbi la tatizo la ajira

Tanzania Tuitakayo competition threads
Joined
Apr 24, 2024
Posts
9
Reaction score
7
Sanaa kwa kiasi kikubwa katika ukanda wetu wa bala la Africa kwa kiasi kikubwa imeanza kuwa sekta rasmi ambayo kama itawekewa mkazo kwa kiasi kikubwa sana inaweza kutoa ajira kwa watu wengi sana kwani cheni ya ajira kwenye sanaa ni kubwa sana kuanzia kwenye chimbuko ambalo ni kipaji cha mtu husika mbaka sokoni kumfikia mlaji wa mwisho wa sanaa ambaye ni shabiki.
 
Upvote 0
Lakini bro tusisahau kuwa michezo ni burudani... watacheza wengi na wataangaloa wengi lakini mamilionea tokea humo hawatatosha kuinyanyua nchi nzima
 
Back
Top Bottom