mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Total wamemnunua mtu huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January hajakupigia simu?,basi atakua hajausoma,Wanabodi,
Jukwaa la Siasa:
Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi.
Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya uwekezaji, Tanzania tumefungua milango yetu na kuiacha wazi ikiwemo kuweka vivutio mbalimbali vya uwekezaji ili kuvutia uwekezaji katika sekta mbalimbali. Katika uwekezaji huo, kuna uwekezaji na uwekezaji, sio kila uwekezaji ni uwekezaji wa kujenga nchini, kuna uwekezaji mwingine sio uwekezaji wa kujenga nchi ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mfano uwekezaji kwenye sekta ya uchimbaji wa madini, gesi, mafuta, au extractive industry, japo huu ni uwekezaji mkubwa, lakini madini yote duniani yanaitwa diminishing resources, ynafika mahali yanakwisha!. Uwekezaji kwenye sekta ya madini, japo ni uwekezaji mkubwa, lakini sio uwekezaji wa kujenga nchi, ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mwekezaji anaingiza mtaji ili kupata mavuno, madini yakiisha, gtunaachiwa mashimo and that is it.
Kuhusu hawa TotalEnergies, naomba kuanza kuanza kwa kuweka hizi facts mezani
Uwekezaji unaofanywa na kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, huu ndio mfano wa uwekezaji mkubwa wa ukweli wenye lengo la kuisaidia nchi, kujenga nchi na sio kuvuna nchi.
- Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, huu ndio mradi wenye thamani kubwa kuliko mradi mwingine wowote nchini Tanzania kwa sasa.
- Japo kuna makampuni mengi yanayotoa huduma za mafuta, na vituo vingi vya mafuta, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, ndio kampuni inayoongoza kwa kuwa na vituo vingi vya mafuta, ambapo mpaka sasa, ina vituo zaidi ya 100 vilivyotapakaa nchi nzima, tena vituo vya TotalEnergies, sio viko maeneo ya mijini tuu, viko hadi vijijini, siku moja nilikuwa maeneo ya vijijini huko Marangu, Moshi, nikashangaa kukutana na kituo cha kisasa cha TotalEnergies, pale kijijini Somanga!.
- Japo kuna aina mbalimbambali za mafuta ya petroli na dizeli, kuna Super, Regular, Unleaded, etc, mafuta yanayouzwa kwenye vituo vya TotalEnergies, ndio mafuta yanayoongoza kwa ubora, kutokana ma mafuta ya Total, kuongezwa kiambata cha TotalEnergies Excellium ambacho kinafanya mambo makubwa kwenye
Andamana nami katika makala hii.
View attachment 2033252
Sasa kwa vile kuna wawekezaji wa aina mbili, wawekezaji wachumaji na wavunaji wa rasilimali zetu, na wawekezaji wajenga nchi.
Mnaonaje tukiishauri serikali yetu, wawekezaji wajenga nchi kama TotalEnergies, waongezewe some investment incentives, ili Tanzania tuvutie zaidi wawekezaji wajenga nchi na sio wachuma nchi?.
Paskali.
Anaweza kuwa underground Market Manager wa hii kampuniNina mashaka na makala yako....
Siku zote umekua uki ipigia chapuo hii kampuni...
Naona hii mada sio kwa maslai ya taifa, bali maslai ya Pascal....
Sasa bwana Samurai unashauri sisi tuwakatae hawa wawekezaji kwasababu ya Chad na Congo ???Total kawasome vizuri hawa jamaa huko west africa na miradi yao kule Chad na Congo brazzavile... Total from france, kaisome kitu inaitwa french Africa na makampuni kama total influence yake....Moja ya project ya french Africa ni Gabon na Burkin faso..
Total amemnunua Anadarko pale Msumbiji, yuko na project kuubwa sana ya LNG....tayari RPF vijana wa PK wako pale...
Mengine magumu bwana Pasco nenda kayachimbe...
Sasa bwana Samurai unashauri sisi tuwakatae hawa wawekezaji kwasababu ya Chad na Congo ???
Tunashukuru kwa ufafanuzi ndugu Mayalla, pamoja na mazuri uliyoandika kwenye makala hii haimaanishi kuwa bahasha haijahusika.
News siku zote ni bure dunia nzima, hivyo hata mimi nafanya news bure.Wanakulipa tsh ngapi Total? .
Kaka Pascal Mayalla uwekezaji ni kitu muhimu sana hasa kama tunataka kupige hatua za haraka, kinachohitajika ni uwazi zaidi kwa serikali na wawekezaji. Lakini mbali na kuwajengea ujuzi watanzania tunahijati kutengeneza mazingira ambayo yatawalazimu hawa wawekezaji kuingia katika ushirikiano (Partnership/Joint Venture) na wazawa.
Mimi kabisa leo kwamba wadau kama vyuo vikuu wanaweza wakatengeneza mashirika yao ambayo yangeweza kufanya mkono kwa mkono na wawekezaji, mbali na kuwapa tu ajira. Kwamba mwekezaji awe anamiliki asilimia 70% huku mashirikia ya vyuo vikuu yawe yanamiliki asilimia 30%. Tutaanza kidogo kidogo, lakini haya mashirika yetu yatakuja kujaa wataalamu na kumiliki mali nyingi sana tu huko mbeleni.
Changamoto kubwa ambayo tunayo Tanzania, ni wale wazee wajamaa wa kipindi cha Nyerere ambao binafsi huwa siwaelewi kwanini wanachukia sana wawekezaji na ukiwaambia tufanye njia gani, wao huishia kusema TUJITEGEMEE lakini hawatupi njia sahihi ya Tanzania kufanya hivyo. Kiufupi wao ndiyo waliifikisha nchi hapa na siasa zao mbovu, na bado wao wanadhani kwamba walihujumiwa na mabeberu, nothing is ever their fault....
nabodi,
Jukwaa la Siasa:
Hapa Jukwaa la Siasa JF, mada nyingi ni mada za politiking, yaani kupiga siasa, lakini sii wengi wanajua kuwa hata mambo ya uchumi mkubwa ni siasa!, hapa tunazungumzia political economy, Siasa Uchumi.
Kila nipatapo fursa, huwaletea zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya uwekezaji, Tanzania tumefungua milango yetu na kuiacha wazi ikiwemo kuweka vivutio mbalimbali vya uwekezaji ili kuvutia uwekezaji katika sekta mbalimbali.
Katika uwekezaji huo, kuna uwekezaji na uwekezaji, sio kila uwekezaji ni uwekezaji wa kujenga nchini, kuna uwekezaji mwingine sio uwekezaji wa kujenga nchi ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mfano uwekezaji kwenye sekta ya uchimbaji wa madini, gesi, mafuta, au extractive industry, japo huu ni uwekezaji mkubwa, lakini madini yote duniani yanaitwa diminishing resources, ynafika mahali yanakwisha!. Uwekezaji kwenye sekta ya madini, japo ni uwekezaji mkubwa, lakini sio uwekezaji wa kujenga nchi, ni uwekezaji wa kuvuna nchi, mwekezaji anaingiza mtaji ili kupata mavuno, madini yakiisha, gtunaachiwa mashimo and that is it.
Kuhusu hawa TotalEnergies, naomba kuanza kuanza kwa kuweka hizi facts mezani
Uwekezaji unaofanywa na kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, huu ndio mfano wa uwekezaji mkubwa wa ukweli wenye lengo la kuisaidia nchi, kujenga nchi na sio kuvuna nchi.
- Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, huu ndio mradi wenye thamani kubwa kuliko mradi mwingine wowote nchini Tanzania kwa sasa.
- Japo kuna makampuni mengi yanayotoa huduma za mafuta, na vituo vingi vya mafuta, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, ndio kampuni inayoongoza kwa kuwa na vituo vingi vya mafuta, ambapo mpaka sasa, ina vituo zaidi ya 100 vilivyotapakaa nchi nzima, tena vituo vya TotalEnergies, sio viko maeneo ya mijini tuu, viko hadi vijijini, siku moja nilikuwa maeneo ya vijijini huko Marangu, Moshi, nikashangaa kukutana na kituo cha kisasa cha TotalEnergies, pale kijijini Somanga!.
- Japo kuna aina mbalimbambali za mafuta ya petroli na dizeli, kuna Super, Regular, Unleaded, etc, mafuta yanayouzwa kwenye vituo vya TotalEnergies, ndio mafuta yanayoongoza kwa ubora, kutokana ma mafuta ya Total, kuongezwa kiambata cha TotalEnergies Excellium ambacho kinafanya mambo makubwa kwenye
Andamana nami katika makala hii.
View attachment 2033252
Sasa kwa vile kuna wawekezaji wa aina mbili, wawekezaji wachumaji na wavunaji wa rasilimali zetu, na wawekezaji wajenga nchi.
Mnaonaje tukiishauri serikali yetu, wawekezaji wajenga nchi kama TotalEnergies, waongezewe some investment incentives, ili Tanzania tuvutie zaidi wawekezaji wajenga nchi na sio wachuma nchi?.
Paskali.
Kuwa na mashaka si lazima kuambatane na UHALISIA....Nina mashaka na makala yako.
Siku zote umekua uki ipigia chapuo hii kampuni.
Naona hii mada sio kwa maslai ya taifa, bali maslai ya Pascal.
u General Mangi , tujifunze kusoma mada kwa kuangalia contents na sio mtoa mada.
Understanding ya Watanzania wengi kwenye mambo ya serious investments ni mdogo sana, hivyo sishangai mtu badala ya kujadili mada iliyopo mezani, wewe unamjadili mtoa mada. Tujadili mada iliyopo mezani.
P
Paskali tusaidie ajira wadogo zako. Wewe upo kwenye channel ya hela saizi maana unawajua wakuu huko, siunajua safari hii kama hakuna wa kukushika mkono hutoboi.
Mambo yamerudi kwenye mstari mwendazake alikua anawabania.
Nina kikampuni changu cha marketing hizi propaganda za kuwapgia debe mabeberu sitashindwa niamini mkuu wangu
Umetoa mifano mingi ya kupanua bongo zetu....Total kawasome vizuri hawa jamaa huko west africa na miradi yao kule Chad na Congo brazzavile... Total from france, kaisome kitu inaitwa french Africa na makampuni kama total influence yake....Moja ya project ya french Africa ni Gabon na Burkin faso..
Total amemnunua Anadarko pale Msumbiji, yuko na project kuubwa sana ya LNG....tayari RPF vijana wa PK wako pale...
Mengine magumu bwana Pasco nenda kayachimbe...