Uwekezaji tunaupenda sana, ila kwanini wawekezaji wanakuja kuwekeza kwenye miradi iliyoiva?

Uwekezaji tunaupenda sana, ila kwanini wawekezaji wanakuja kuwekeza kwenye miradi iliyoiva?

Principles za uwekezaji zinaonyesha mwekezaji haendi kwenye greenfield projects kwa nchi zisizotabirika siasa na sera zake au zinazobadilikabadilika, akija rais kichaa anafumua mabilioni yaliyowekezwa hovyo tu. Wanaweka sehemu itakayolipa pesa yao fasta
 
Bwawa la Nyerere limetumia matrilioni ya fedha ambazo kama zingeingizwa kwenye afya kila mtaa sasa Ungekuwa na kituo cha afya na watumishi wa kutosha. Kwanini mwekezaji hakuja kabla ya miundombinu ya bwawa la Nyerere kuanza au kukamilika?

Bandari ya Dar es salaam imemeza mabilioni ya pesa za mkopo na fedha za ruzuku ili ipanuliwe. Upanuzi unaenda kukamilika tu mwekezaji huyo.
Nasikia hasira.

TEMESA kwa miaka 5 iliyopita imemeza mabilioni ya pesa kutengeneza vivuko leo hii vivuko vinatafuta mwekezaji. Hili mbona kituko.

Kuna taasisi nyingi ambazo zinapumulia mipira wawekezaji wakawekeze pesa huko ili kuleta maana halisi ya NENO mwekezaji.

Hii tren iliyokula matrilioni ambayo yangepelekwa yote wizara ya elimu wanafunzi wa msingi na sekondari wangeweza kupata chakula bora cha mchana na walimu wangelipwa overtime allowance kama watumishi wengine.

Soma Pia: Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

Imagine shule ya serikali ambayo ina miundombinu yote kijana anamaliza form 4 hajui kuwa Songea si mkoa bali ni wilaya tu. Mtafute kijana wa kidato cha tatu shule ya serikali akuelezee ugonjwa wa malaria kinafaubaga aisee utaishia kusikitika.
Ukiangalia kwa undani Hao ni wapigaji
 
Principles za uwekezaji zinaonyesha mwekezaji haendi kwenye greenfield projects kwa nchi zisizotabirika siasa na sera zake au zinazobadilikabadilika, akija rais kichaa anafumua mabilioni yaliyowekezwa hovyo tu. Wanaweka sehemu itakayolipa pesa yao fasta
Unanikumbusha wabunge kupitisha sera ambazo hazina muelekeo, (uncertainty policies), bila kujali madhara ya hapo baadae ,(the aftermath), yote kwa yote wa kulaumiwa ni jamii yetu ya bora liende yaani kanyaga twende, ukihoji kuhusu tozo unaambiwa kama hutaki kulipa tozo nenda burundi, cha ajabu jamii hii ikiambiwa hivyo inafyata mkia, yaani kimyaaa!

Swali, Je hii jamii itaendekea kukaa kimya hadi lini, na hayo madhara ya kukaa kimya tunayajua?

Silence surrenders public responsibilities
 
Bwawa la Nyerere limetumia matrilioni ya fedha ambazo kama zingeingizwa kwenye afya kila mtaa sasa Ungekuwa na kituo cha afya na watumishi wa kutosha. Kwanini mwekezaji hakuja kabla ya miundombinu ya bwawa la Nyerere kuanza au kukamilika?

Bandari ya Dar es salaam imemeza mabilioni ya pesa za mkopo na fedha za ruzuku ili ipanuliwe. Upanuzi unaenda kukamilika tu mwekezaji huyo.
Nasikia hasira.

TEMESA kwa miaka 5 iliyopita imemeza mabilioni ya pesa kutengeneza vivuko leo hii vivuko vinatafuta mwekezaji. Hili mbona kituko.

Kuna taasisi nyingi ambazo zinapumulia mipira wawekezaji wakawekeze pesa huko ili kuleta maana halisi ya NENO mwekezaji.

Hii tren iliyokula matrilioni ambayo yangepelekwa yote wizara ya elimu wanafunzi wa msingi na sekondari wangeweza kupata chakula bora cha mchana na walimu wangelipwa overtime allowance kama watumishi wengine.

Soma Pia: Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

Imagine shule ya serikali ambayo ina miundombinu yote kijana anamaliza form 4 hajui kuwa Songea si mkoa bali ni wilaya tu. Mtafute kijana wa kidato cha tatu shule ya serikali akuelezee ugonjwa wa malaria kinafaubaga aisee utaishia kusikitika.
Michongo ya maokoto.
Tatizo wadanganyika wengi bado mnataka wale wale waliotengeneza tatizo ndo walitatue!
ABSURD!
 
Kuna faida gani yakiwa kwenye mamlaka za umma na watu wana taabika?
Watu wanataabika sababu ya ufinyu wa bajeti ya maji kulinganisha na mahitaji na mambo mengine mengi tu.

Ila kuyaweka sekta binafsi too risky hasa kwa nchi zetu hizi.
 
Ungekuwa unaelewa maana ya Kingani za viwanda au kile Huwa wanafanya EPZA usingeuliza hili swali.

By the way sio kweli kwamba Kila Mwekezaji anakuja kwenye mradi ulioiva.

Mwisho Ili Mwekezaji aje lazima umpe taarifa za awali za uhakika wa yeye kurudisha pesa atakazoweka.

Kama vipi na wewe karibu kuwekeza uone.
Siyo kila kitu uwe unajibu na wewe wakati mwingine ukae kimya
 
Bwawa la Nyerere limetumia matrilioni ya fedha ambazo kama zingeingizwa kwenye afya kila mtaa sasa Ungekuwa na kituo cha afya na watumishi wa kutosha. Kwanini mwekezaji hakuja kabla ya miundombinu ya bwawa la Nyerere kuanza au kukamilika?

Bandari ya Dar es salaam imemeza mabilioni ya pesa za mkopo na fedha za ruzuku ili ipanuliwe. Upanuzi unaenda kukamilika tu mwekezaji huyo.
Nasikia hasira.

TEMESA kwa miaka 5 iliyopita imemeza mabilioni ya pesa kutengeneza vivuko leo hii vivuko vinatafuta mwekezaji. Hili mbona kituko.

Kuna taasisi nyingi ambazo zinapumulia mipira wawekezaji wakawekeze pesa huko ili kuleta maana halisi ya NENO mwekezaji.

Hii tren iliyokula matrilioni ambayo yangepelekwa yote wizara ya elimu wanafunzi wa msingi na sekondari wangeweza kupata chakula bora cha mchana na walimu wangelipwa overtime allowance kama watumishi wengine.

Soma Pia: Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

Imagine shule ya serikali ambayo ina miundombinu yote kijana anamaliza form 4 hajui kuwa Songea si mkoa bali ni wilaya tu. Mtafute kijana wa kidato cha tatu shule ya serikali akuelezee ugonjwa wa malaria kinafaubaga aisee utaishia kusikitika.
Ukiona unahitaji mwekezaji tambua kuwa uendeshaji wako upo duni. Kuna hatua za kimaendeleo tunatakiwa kufikiria kuzipiga ili tuwe na haki ya kufanya wenyewe hiyo miradi baada ya uwekezaji kuwa umeshakamilika.

Tunalilia kuendesha sisi wenyewe lakini tija halisi ya utendaji wetu ni vichekesho hata kufikiria kuongelea.
 
Mkuu, Boston Consulting Group Growth Share Matrx ina Cash Cow, Star, Question na Dog stages. Kila mwekezaji anataka hiyo cash cow kwa sababu market share ni kubwa kuna kiasi kidogo cha investment katika marketing. Hawa wawekezaji wako sahihi katika kiwekeza kwenye miradi iliyoiva - wanapata faida!! Ni jukumu letu kuvutia na kuruhusu tu uwekezaji katika maeneo kama questions na star!!
Wanapotaka kuwekeza kwenye maeneo yaliyoiva, tunaonesha udhaifu mkubwa au viongozi wanafaidika kwa rushwa. Cash cow ni eneo mwekezaji anakuwa guaranteed na mafanikio hivo anavutiwa hata kuhonga!!

Wawekezaji wasukumwe kwenye economic agriculture na viwanda sindikaji! Haya ndio maeneo yenye “questions”!
 
Bwawa la Nyerere limetumia matrilioni ya fedha ambazo kama zingeingizwa kwenye afya kila mtaa sasa Ungekuwa na kituo cha afya na watumishi wa kutosha. Kwanini mwekezaji hakuja kabla ya miundombinu ya bwawa la Nyerere kuanza au kukamilika?

Bandari ya Dar es salaam imemeza mabilioni ya pesa za mkopo na fedha za ruzuku ili ipanuliwe. Upanuzi unaenda kukamilika tu mwekezaji huyo.
Nasikia hasira.

TEMESA kwa miaka 5 iliyopita imemeza mabilioni ya pesa kutengeneza vivuko leo hii vivuko vinatafuta mwekezaji. Hili mbona kituko.

Kuna taasisi nyingi ambazo zinapumulia mipira wawekezaji wakawekeze pesa huko ili kuleta maana halisi ya NENO mwekezaji.

Hii tren iliyokula matrilioni ambayo yangepelekwa yote wizara ya elimu wanafunzi wa msingi na sekondari wangeweza kupata chakula bora cha mchana na walimu wangelipwa overtime allowance kama watumishi wengine.

Soma Pia: Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

Imagine shule ya serikali ambayo ina miundombinu yote kijana anamaliza form 4 hajui kuwa Songea si mkoa bali ni wilaya tu. Mtafute kijana wa kidato cha tatu shule ya serikali akuelezee ugonjwa wa malaria kinafaubaga aisee utaishia kusikitika.
Naunga mkono hoja mkuu

Ila najiuliza inakuwaje watanzania wenzangu tunashindwa kuendesha hata mradi wa mabasi ya mwendokasi wenye wateja wa kutosha Hadi wanataka kivunja mlango ?

Wakati huo MTU binafsi anasimamia mradi wa mabasi Kibao ya mikoani
 
Bwawa la Nyerere limetumia matrilioni ya fedha ambazo kama zingeingizwa kwenye afya kila mtaa sasa Ungekuwa na kituo cha afya na watumishi wa kutosha. Kwanini mwekezaji hakuja kabla ya miundombinu ya bwawa la Nyerere kuanza au kukamilika?

Bandari ya Dar es salaam imemeza mabilioni ya pesa za mkopo na fedha za ruzuku ili ipanuliwe. Upanuzi unaenda kukamilika tu mwekezaji huyo.
Nasikia hasira.

TEMESA kwa miaka 5 iliyopita imemeza mabilioni ya pesa kutengeneza vivuko leo hii vivuko vinatafuta mwekezaji. Hili mbona kituko.

Kuna taasisi nyingi ambazo zinapumulia mipira wawekezaji wakawekeze pesa huko ili kuleta maana halisi ya NENO mwekezaji.

Hii tren iliyokula matrilioni ambayo yangepelekwa yote wizara ya elimu wanafunzi wa msingi na sekondari wangeweza kupata chakula bora cha mchana na walimu wangelipwa overtime allowance kama watumishi wengine.

Soma Pia: Wito: Pamoja na kusainiwa kwa mikataba mitatu ya wawekezaji wa Dubai Serikali ibainishe maudhui yake na mabadiliko yaliyofanywa kwenye mkataba wa IGA

Imagine shule ya serikali ambayo ina miundombinu yote kijana anamaliza form 4 hajui kuwa Songea si mkoa bali ni wilaya tu. Mtafute kijana wa kidato cha tatu shule ya serikali akuelezee ugonjwa wa malaria kinafaubaga aisee utaishia kusikitika.
hizo ni pesa za miradi hua znakua kwa dola sio tsh, mzunguko wa tsh umeshindwa kuzalisha hio pesa ndo maaana wamekopa, ukisema uzipeleke sjui kulipa overtime kwa miradi 2 uliosema nyerere na sgr basi tsh ingekua saaahv inapumulia mashine
 
Back
Top Bottom