Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #21
SijakuelewaHapo nilipo bold pote halipi mfanyabiashara unalipa wewe
Ask me how???
Kazi yangu kubwa ni kulinda mtaji na kufanya uzae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaHapo nilipo bold pote halipi mfanyabiashara unalipa wewe
Ask me how???
Kazi yangu kubwa ni kulinda mtaji na kufanya uzae
Hakuna mfanya biashara anaelipa kodi, kodi zinalipwa na mtumiajiSijakuelewa
DuhHakuna mfanya biashara anaelipa kodi, kodi zinalipwa na mtumiaji
usiogope ku expand Biashara yako kwakuhofia kodi
Hii utaiweza endapo hakuna ushindani wa kibiasharaHakuna mfanya biashara anaelipa kodi, kodi zinalipwa na mtumiaji
usiogope ku expand Biashara yako kwakuhofia kodi
Kwa calculation zipi hizoNadhan inaweza kuwa na faida kwa mtaji mkubwa mfano milioni 100 utakunja 12,000,000 Kwa mwaka
Watu wanacho angalia ni uhakika wa mtaji wao,japo faida ni ndogo lakin mtaji uko pale pale. Bahati nzuri certificate ya bond unaweza kuitumia kuombea mkopo kama collateral.Mtaji wa million 100 ukifanya biashara ni more profitable.Mzee wang Ana biashara yake moja mtaji imegharimu almost 70m Kwa wiki analaza mpka 2.5M (kwa mwezi 10m)ikipungua saan ni 1.5m anapiga (kwa mwezi 6m) ukitoa marupurup ya serikal kwa mwka ni kama 2m.-4m
Changamoto kubwa la stress kazi zikiwa haziend vizuri kutokana na matarajio yake.na chamoto anakutana nacho
Interest ya 12% kwa mwaka.Kwa calculation zipi hizo
OkInterest ya 12% kwa mwaka.
12/100x100,000,000.
Mkuu hizi bond unaweka wapi?Nikweli mkuu lakini sio kwa wastaafu tu nadhan nimuhimu kila mtu kuwekeza
Kuna biashara unanunua kitu cha 1 M leo, kesho unauza kwa 1.1 hadi 1.3. Kwa bonds na funds zingine utasubiri mwaka mzima. Huko kunahitajika mtaji mkubwa zaidi na isiwe primary investmentMdau Leo anauliza Kati ya biashara za kawaida na Bond za ma bank zinazotoa interest ya 10.5% kwa Mwaka je, kipi kina faida zaidi?
Kwenye Bond
-Hakuna Kodi ya TRA
-Hakuna Kodi ya Pango sehem ya biashara
-Hulipi mfanyakazi Wala muda wako hautumiki
-Hakuna uwezekano wa kupoteza mtaji(mtaji kukataa)
Biashara
-Kodi TRA, LESENI
-Kodi ya Pango
-Muda, mfanyakazi
-Mtaji unaweza kukata/kuisha/kuibiwa n.k
Shusha comment yako Kati ya hayo mawili kipi Bora zaidi?
Nimeshangaa saan ukiwekeza m 100 Kwa mwka unapata faida ya ya million 12,kweli ni ndogoWatu wanacho angalia ni uhakika wa mtaji wao,japo faida ni ndogo lakin mtaji uko pale pale. Bahati nzuri certificate ya bond unaweza kuitumia kuombea mkopo kama collateral.
Na kama hakuna ushindani kwenye Biashara basi achana nayoHii utaiweza endapo hakuna ushindani wa kibiashara
Ask me how???
Biashara sio za watu lelemama kama haupo strong enough ku control busines challenges then bora mtu ukae pembeniMtaji wa million 100 ukifanya biashara ni more profitable.Mzee wang Ana biashara yake moja mtaji imegharimu almost 70m Kwa wiki analaza mpka 2.5M (kwa mwezi 10m)ikipungua saan ni 1.5m anapiga (kwa mwezi 6m) ukitoa marupurup ya serikal kwa mwka ni kama 2m.-4m
Changamoto kubwa la stress kazi zikiwa haziend vizuri kutokana na matarajio yake.na chamoto anakutana nacho
Salamu zimefika , bora uvumilie challenge mwisho biashara ikishafunguka na ww unaweza ukatanua zaidi.Biashara sio za watu lelemama kama haupo strong enough ku control busines challenges then bora mtu ukae pembeni
Big up kwa mzee
Mpe salamu huko aliko
Bonds zinafaa kwa mtu ambaye una pesa nyingi na huhitaji kuitumia pesa hiyo kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni, pengine labda kwa sababu huna muda wa kui-invest, au una plan ya kuitunza kwa ajili ya matumizi mengine kama vile kusomesha watoto kuanzia miaka mitano ijayo na kuendelea mbeleMdau Leo anauliza Kati ya biashara za kawaida na Bond za ma bank zinazotoa interest ya 10.5% kwa Mwaka je, kipi kina faida zaidi?
Kwenye Bond
-Hakuna Kodi ya TRA
-Hakuna Kodi ya Pango sehem ya biashara
-Hulipi mfanyakazi Wala muda wako hautumiki
-Hakuna uwezekano wa kupoteza mtaji(mtaji kukataa)
Biashara
-Kodi TRA, LESENI
-Kodi ya Pango
-Muda, mfanyakazi
-Mtaji unaweza kukata/kuisha/kuibiwa n.k
Shusha comment yako Kati ya hayo mawili kipi Bora zaidi?
Biashara ipi mkuuMtaji wa million 100 ukifanya biashara ni more profitable.Mzee wang Ana biashara yake moja mtaji imegharimu almost 70m Kwa wiki analaza mpka 2.5M (kwa mwezi 10m)ikipungua saan ni 1.5m anapiga (kwa mwezi 6m) ukitoa marupurup ya serikal kwa mwka ni kama 2m.-4m
Changamoto kubwa la stress kazi zikiwa haziend vizuri kutokana na matarajio yake.na chamoto anakutana nacho
Hawalipi kodi kiaje? Na zile EFDs je?Hakuna mfanya biashara anaelipa kodi, kodi zinalipwa na mtumiaji
usiogope ku expand Biashara yako kwakuhofia kodi