Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Hamjasema bado.,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hawafai kabisa...Watanzania sijui akili zetu zikoje.
..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?
..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.
..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.
..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.
..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.
..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.
..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.
![]()
How DP World investment contributes to Tanzania's growing port potential
Dar es Salaam Port manages approximately 95% of the country's international trade, extending its reach to serve seven landlocked countries.venturesafrica.com
Ni kweli hata siasa za Vyama vingi imeshindikana tutatafuta mwekezajiTatizo ni akili ndogo.
Hii ni mihemko Jazz Band !!Soma vizuri link,hawaekezi bandari yote,bandari ya Dar,ina berth 12,wanawekeza 4 berths,tofautisha na kuwekeza na kuchukuwa.Kwa mfano aliyekodisha frem ya duka,amewekeza kwa mwenye nyumba,sio amechukua frem ni mali yake.Watanzania sio kila kitu tunapinga bila kutumia akili.
Inasikitisha sanaSisi hatuwezi kitu cho chote. Kama unabisha nitajie kitu kimoja tu ambacho unaweza kusema kweli hapa tumeweza. Na tatizo letu kuu ni ufisadi. So sad!
Kama tumeshindwa itabidi tusaidiwe !Ni kweli hata siasa za Vyama vingi imeshindikana tutatafuta mwekezaji
..Watanzania sijui akili zetu zikoje.
..Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?
..Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.
..Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.
..Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.
..Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.
..Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.
..kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.
![]()
How DP World investment contributes to Tanzania's growing port potential
Dar es Salaam Port manages approximately 95% of the country's international trade, extending its reach to serve seven landlocked countries.venturesafrica.com
Tena hiyo imetajwa kwa kujikakamua tu ili kuwadanganya wajinga. Kiuhalisia, hawekezi chochote, maana DPW hii ya hapa kwetu, ni ya wajanja wa pwani...vurugu zote walizosababisha Dpw kumbe wanawekeza usd 250 mil tu.
Kwahiyo huo upuuzi ndo iwe USD 250mil? DahUsiwe na wasiwasi, hicho ni kianzio tuu!, umuhimu wa DPW na Bandari zetu sio just capital injection, ni technical know how za how to operate more efficiently and more profitably ambapo sisi wenyewe hatuwezi hata kama hizo fedha tunazo.
P
NBC style 🐼Tena hiyo imetajwa kwa kujikakamua tu ili kuwadanganya wajinga. Kiuhalisia, hawekezi chochote, maana DPW hii ya hapa kwetu ni ya wajanja wa pwani.
Usiwe na wasiwasi, hicho ni kianzio tuu!, umuhimu wa DPW na Bandari zetu sio just capital injection, ni technical know how za how to operate more efficiently and more profitably ambapo sisi wenyewe hatuwezi hata kama hizo fedha tunazo.
P
Umeanza kufukua makaburi ??!NBC style 🐼
In short tumeaajiri DPW kunamage baadhi ya magati yetu…. Not the whole portSisi hatuwezi kitu cho chote. Kama unabisha nitajie kitu kimoja tu ambacho unaweza kusema kweli hapa tumeweza. Na tatizo letu kuu ni ufisadi. So sad!
Wakati Mkapa ameleta watu wa kuchimba dhahabu tukapewa hadithi kama hizi.... miaka 15-20 baadae, hao hao wakatuambia tulikuwa tunachezewa.Usiwe na wasiwasi, hicho ni kianzio tuu!, umuhimu wa DPW na Bandari zetu sio just capital injection, ni technical know how za how to operate more efficiently and more profitably ambapo sisi wenyewe hatuwezi hata kama hizo fedha tunazo.
P