imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Umesahau upikaji wa Data tuliambiwa tuko kwenye uchumi wa kati wakati tulichoona ni ongezeko la Wamachinga kwenye maeneo ya hifadhi za BarabaraKwa hiyo akinunua ukurasa ananunua Hadi figures yaani au?
-Quantity produced ananunua
-Exports value ya BOT ananunua
Wananchi hata milo miwili ni shida au hata mmoja.