Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika

Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika

Kwa hiyo akinunua ukurasa ananunua Hadi figures yaani au?
-Quantity produced ananunua
-Exports value ya BOT ananunua
Umesahau upikaji wa Data tuliambiwa tuko kwenye uchumi wa kati wakati tulichoona ni ongezeko la Wamachinga kwenye maeneo ya hifadhi za Barabara

Wananchi hata milo miwili ni shida au hata mmoja.
 
Umesahau upikaji wa Data tuliambiwa tuko kwenye uchumi wa kati wakati tulichoona ni ongezeko la Wamachinga kwenye maeneo ya hifadhi za Barabara

Wananchi hata milo miwili ni shida au hata mmoja.
Kwani Machinga wakiongezeka wanazuia Nchi kuwa uchumi wa kati?

Data zipikwe Ili iwaje? Juzi wakati Mpina anajadilo data za deni la Taifa zenyewe hazikupikwa?
 
Kwani Machinga wakiongezeka wanazuia Nchi kuwa uchumi wa kati?

Data zipikwe Ili iwaje? Juzi wakati Mpina anajadilo data za deni la Taifa zenyewe hazikupikwa?
Wananchi wanadanganywa sana na hii serikali ya ccm kama kungekuwa na democracy tungewapndoa hawa fasta tukawachagua akina Lissu wapige kazi kwa UWAZI na UKWELI.
 
Just try to read between the lines. All facts are crystal clear stipulated.
Hayo matakataka yalitarajia Samia afeli yapate Cha kusema Sasa Kila yakigeuka mambo ni 🔥 🔥 so wamebakia na majungu 🤣🤣
 
Walikuwa majizi ya serikalini wakaishia kulea mtu asiye na akili ya kutafuta ila ulalamishi wa Serikali wakati anakula vya urithi wa wizi.
Hatujawahi kufaidika na serekali binafsi, wazazi wangu, mimi hata watoto wangu, na sijawaandalia watoto wangu kwenda kutegemea kazi za kujinyenyekeza, maana wana miradi ya kuendesha maisha yao.
 
Hakuna hata kitu uneandika hapa, umejaza porojo na kujipendekezwa kwingi uonekane na wewe unasema kazi alizofanya raisi.. kwenye kilimo serikali hakuna kitu inefanya amini hilo. Ipo siku utakuwa na akili.
 
Wakulima wa hayo mahindi wanauza kwa bei gani? Uzalishaji wetu kadiri mahindi yanapoongezeka bei nazo hushuka hivyo ongezeko linawanufaisha madali na middle man kama yangekua na tija tungeona impact yake kama kwenye workshop hadi USD iliporomoka bei hivyo tusijivunie kuongeza uzalishaji ambao hauwanufaishi wakulima
 
Wakulima wa hayo mahindi wanauza kwa bei gani? Uzalishaji wetu kadiri mahindi yanapoongezeka bei nazo hushuka hivyo ongezeko linawanufaisha madali na middle man kama yangekua na tija tungeona impact yake kama kwenye workshop hadi USD iliporomoka bei hivyo tusijivunie kuongeza uzalishaji ambao hauwanufaishi wakulima
Kama bei zinashuka si wangeacha kulima.kibiashara wawe wanalima kujikimu?

Unaongea nadharia ya wapi hiyo?
 
Huwa inafurahisha watawala walioko maofisini ndio huwa wanashangilia mafanikio, kwasababu wao tu ndio huyaona hayo mafanikio sio wananchi masikini.

Mafanikio haya na takwimu hizi wanaziona na kuzisema watawala matajiri kwasababu wao ndio wanufaika.

Kule vijijini au mtaani hayo mahindi hayaonekani, huo unga ndio kila siku unapanda bei, sasa hayo manufaa yako wapi au huwa watawala wanagawana wao?

Kumbe ndio maana misafara yao huwa inakimbia spidi 209 barabarani kwasababu wanatuogopa wananchi, wanajidanganya wao huko maofisini halafu wanataka wananchi tukubali tusichokiona.
 
Huwa inafurahisha watawala walioko maofisini ndio huwa wanashangilia mafanikio, kwasababu wao tu ndio huyaona hayo mafanikio sio wananchi masikini.

Mafanikio haya na takwimu hizi wanaziona na kuzisema watawala matajiri kwasababu wao ndio wanufaika.

Kule vijijini au mtaani hayo mahindi hayaonekani, huo unga ndio kila siku unapanda bei, sasa hayo manufaa yako wapi au huwa watawala wanagawana wao?
Kwa hiyo wanaolima hapa ni hao wa maogisini wanatoa takwimu si ndio? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFQ4mYdOmtn/?igsh=MWhnZ3k1cTRkZGRmcA==

View: https://www.instagram.com/reel/DFR51wFtJUk/?igsh=MTl1MHRybTY0eWozZA==
 
Kama bei zinashuka si wangeacha kulima.kibiashara wawe wanalima kujikimu?

Unaongea nadharia ya wapi hiyo?
Nenda ground kwa wakulima wazalishaji wakubwa wa mahindi ni Rukwa,Ruvuma,Njombe,Mbeya,Iringa nenda katazame taswira za wakulima NFRA inachukua muda gani kuwalipa let's be fair to farmers wamekua tabaka ambalo hakuna anaewazungumzia ila wamekua wakutumika kwa watu kujipatia political milage
 
Hiyo miradi inayokula hela mara kumi ya uhalisia ndio unaisifu?

Au unataka tumwage utajiri wa wahusika?!

Waziri anaingia choka mbaya ghafla anamiliki utajiri wa ajabu na kuwaandika ndugu jamaa na Mashemeji.
Kwani utajiri wa mhusika na miradi ya serikali vinahusianaje?

Ulisema hakuna miradi saizi umehamisha goli eti inakula hela sana wahusika ni matajiri 🤣🤣

Haya tupe hela halisi inatakiwa iwe bei gani? 😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFLvSY7OFXw/?igsh=N2V0bXAwbm1uYnRu

View: https://www.instagram.com/p/DFNpXkhtKxM/?igsh=MW5nZXVpNHpyOXplcQ==
 
Nenda ground kwa wakulima wazalishaji wakubwa wa mahindi ni Rukwa,Ruvuma,Njombe,Mbeya,Iringa nenda katazame taswira za wakulima NFRA inachukua muda gani kuwalipa let's be fair to farmers wamekua tabaka ambalo hakuna anaewazungumzia ila wamekua wakutumika kwa watu kujipatia political milage
Hata ingechukua miaka 2 kiwalipa,hoja ni kama mahindi hayana bei si wangeacha kilima Kibiashara?

Unataka mkulima afanane na mkaa ofisini?
 
Back
Top Bottom