rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Serikali kupitia Waziri wa Michezo Harison Mwakyembe amesema uwekezaji kwa vilabu vya Simba na Yanga ni 49% na uwekezaji inabidi uhusishe kuanzia watu watatu na sio mtu mmoja kuhodhi asilimia 49.
Amesema aliwaagiza TFF wasimamie zoezi hilo lakini hawakuwa makini hivyo ametaka zoezi hilo lisimamiwe upya na bmt likihusisha watu wa TRA, TFF, mkurugenzi wa michezo na wadau chanzo cha habari ni mwanaspoti online
Amesema aliwaagiza TFF wasimamie zoezi hilo lakini hawakuwa makini hivyo ametaka zoezi hilo lisimamiwe upya na bmt likihusisha watu wa TRA, TFF, mkurugenzi wa michezo na wadau chanzo cha habari ni mwanaspoti online