Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Mkuu usiniambie hivyo natamani nizitapike zile bia na nyama nilizokuwa nafakamia badala ya kuweza๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜€
 
Karibuni sanaaa...!! Kama ukiwa tayari, unaweza kunicheki tu PM, mimi naweza kukupa namba ya simu ya mzee ambae ana maeneo makubwa hapo Kibaha-Kongowe anauza, na hana tamaa yule mzee. Hiyo ni pande direct, hakuna udalali.
 
Kabisa, yale maeneo kujenga huwa ni gharama hatari๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚... Hata hivyo waliojenga kule wapewe maua yao, maana kwanza ule msingi pale chini tu unaweza ukasimamisha nyumba yako huko vikindu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wekeza hela kwenye kiwanja kizuri kwanza, architect akuchorea plan nzuri,hela zikibaki ndio uanze ujenzi. Nyumba ni investment ya ghali naya muda mrefu,epuka kukurupuka.
 
Wekeza hela kwenye kiwanja kizuri kwanza, architect akuchorea plan nzuri,hela zikibaki ndio uanze ujenzi. Nyumba ni investment ya ghali naya muda mrefu,epuka kukurupuka.
Yale ni maeneo ya kujenga nyumba za kukaa labda(kwa maana ni rahisi kwenda nayo taratibu kama usemavyo) ila kwa nyumba za biashara utatumia gharama kubwa sana thou Kodi ya maeneo yale nayo sio mbaya sana
 
Duuuuhh!! Hapo si inabidi investiment iwe kubwa sana? Na pia iwe yale maeneo ya kishua sana ya kitalii. Na in terms of accessories inabidi ziwepo za kutosha (eg swimming pool, etc). Mtu atalipia laki 5 per night bila swimming pool kwa mfano?
ukiwa na 300M unawezza kutoa kitu kidogo matata sana. ila inatakiwa vitu vingi ubane matumizi.
kusimamisha kitu kama hicho hapo chini milioni 3 na point hadi bati unaweka ishu iko kwenye finishing. ila kuna namna nawaza jinsi ya kufanya.
 
Unaongelea Goba gani chief?
 
Mkuu, nakuelewa sana ila ogopa kizazi cha wabongo. Wakati wa kuondoka huo ukali wa mikataba hautakuwa na maana yoyote. Nasema kwa uzoefu.
 
Achana nao hao. Yaani hio UTT wanavyoipaisha utafikiri sijui nibuwekezaji gani wa maana wakati inatofauti ndogo sana na FDR account. Uwekezaji wako una ROI 19% haya UTT inatoa 19% kwa mwaka?
Halafu naona wameshikilia ukarabati, hivi nani lawadanganya kila mtu akitoka lazima ufanye ukarabati wa gharama? Sana sana rangi tu ambayo ukipiga mtu anaona nyumba mpya. Sasa rangi bei gani? Halafu nyumba zako zikiwa nzuri location nzuri watu wanakaa muda mrefu na wenhi wa aina hii wanakarabati wenyewe vitu vidogo. Naongea kwa experience sio hisia.
 
Hongera mkuu mimi mwenyewe natamani sana japo sina uwezo huo ndoto zangu nipate vyumba hata viwili kwavigwaza tutakuwa na uhaba wavyumba watakaotokea kwenye viwanda
 
Sisi kama binadamu kuheshimiana ni muhimu sana mkuu, bila kujali status zetu au tuna nyumba, ah hatuna, au tuna hela au hatuna.Tuheshimiane kwa ubinadamu wetu!
Aaaah naamini watu wapo wenye roho safi na wenye mioyo ya jiwe zilizokunjamana roho zao
 
Mimi nahitaji fundi wako huyo. Na hizi gharama zako. Kama itakupendeza.
 
Ukiweka pesa utt usisahau na inflation rate ya mwaka ni bora awekeze kwa real estate ambapo thaman yake inaongezeka kila mwaka. Utt unaweka pesa kwa muda ukisubir cha kufanya.
Sidhani Tz kuna mtu mwenye kipato kinachoendana na inflation. Kama wapo ni wachache sana.
 
Hongera sana mkuu hapo umefanya kitu chenye akili sana.
Ni biashara isiyo na stress na hainaga hasara popote ulipo unatumiwa muhamala wako kila mwezi kuliko ukurupuke kununua fuso kila siku safari za gereji ni presha tupu.
Yaani hadi nimetamani na mimi nyumba yangu ningeijenga kwa muundo kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ