Uwepo wa asali katika picha ya Ikulu Mbowe alipokutana na Dkt. Samia ina maana gani?

Uwepo wa asali katika picha ya Ikulu Mbowe alipokutana na Dkt. Samia ina maana gani?

Status
Not open for further replies.

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Heri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.

Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiangalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.

Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.

Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?

FlYidWmXkAIZnGB.jpeg.jpg


=====

Kupata ukweli wa habari hii soma hapa: Picha ya Freeman Mbowe akiwa na Rais Samia waliyopiga Ikulu inaonesha asali nyuma
 
Heri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.

Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.

Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.

Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
Ni sawa na Kunywa divai kwa wakatoliki humanisha Tunakunywa Damu ya Yesu Kristo mfalme
 
Hii nchi shetani magu aliiharibu sana,acha Samia na Mwamba waisuke upya
 
Heri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.

Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.

Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.

Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
I ishara mkaazi wa hapo afya haiko sawa kula kila kitu hivyo hana budi kuisha kwa asali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom