peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ni Yule mbunge wa kule kwakeKUNA WATU WANATUMIA NGUVU NYINGI KUMCHAFUA MBOWE KWA KWELI...WAKAAMUA WAEDIT ASALI KABISA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Yule mbunge wa kule kwakeKUNA WATU WANATUMIA NGUVU NYINGI KUMCHAFUA MBOWE KWA KWELI...WAKAAMUA WAEDIT ASALI KABISA
Tunakunywa kwa njia ya imaniWakatoliki(waamini)huwa hawanywi divai wanaokunywa ni Lutheran
Hawataweza kuchafua oil chafuKUNA WATU WANATUMIA NGUVU NYINGI KUMCHAFUA MBOWE KWA KWELI...WAKAAMUA WAEDIT ASALI KABISA
Hiyo asali alipeleka huyo mchawi mleta mada ila umemuweka uchi kwa jina la yesuOriginal
View attachment 2465810
Fake
View attachment 2465809
Nitarudi siku nyingine acha masuala ya kuedit kijana
Kawaulize wahusika. Kama hawajibu, uliza chawa kama Yusuf MakambaleHeri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.
Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.
Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.
Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
View attachment 2465750
Heri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.
Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.
Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.
Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
View attachment 2465750
Duh !! Hiyo ni deliberately 😂 Au ??Heri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.
Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.
Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.
Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
View attachment 2465750
Kweli !Huoni kabisa kwamba hiyo ni photo imposed image?
Tokea lini jagi la kioo lisioneshe upande wa pili?
JF ina vipaza sana siku hizi
Kumbe mada ya kitapeli hii.Original
View attachment 2465810
Fake
View attachment 2465809
Nitarudi siku nyingine acha masuala ya kuedit kijana
UmenenaHawataweza kuchafua oil chafu