Ni sawa na Kunywa divai kwa wakatoliki humanisha Tunakunywa Damu ya Yesu Kristo mfalmeHeri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.
Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.
Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.
Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
Mwamba yuko vizuri sana. Tunatarajia mazungumzo yenye matunda.
Ni sawa na Kunywa divai kwa wakatoliki humanisha Tunakunywa Damu ya Yesu Kristo mfalme
Ndio wakatoriki waumini wao hawanywi divai wanakunywa mapadrii tu waumini wanalishwa mikate tu bila divai wala juiceWakatoliki(waamini)huwa hawanywi divai wanaokunywa ni Lutheran
Yaani jiwe huyu! Basi tu!Hii nchi shetani magu aliiharibu sana
S. Mafue Ana Jaribu kuchafua Hali ya hewa, ila haitasaidiaOriginal
View attachment 2465810
Fake
View attachment 2465809
Nitarudi siku nyingine acha masuala ya kuedit kijana
Asante kaka.Ila dogo akasali kwa Mungu wake anatenda dhambi kubwa sana kuzuia uwezekano wa kuishi kwa amani kama zao la hakiOriginal
View attachment 2465810
Fake
View attachment 2465809
Nitarudi siku nyingine acha masuala ya kuedit kijana
I ishara mkaazi wa hapo afya haiko sawa kula kila kitu hivyo hana budi kuisha kwa asaliHeri ya Mwaka Mpya wana JF nyote.
Nimekutana na picha ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA bw. Freeman Mbowe akizungumza na Rais Samia lakini baada ya kuiqngalia sana nimeona kwenye mandhari ya nyuma ya picha kumewekwa chombo chenye asali ndani yake.
Nimejiuliza maswali mengi bila majibu.
Kwa wadadisi wa siasa zetu, kuna tafsiri gani inayoletwa na picha hii?
Wanakunywa ,ingawa kwenye matukio maalumu maana wapo wengi haiwezi Tisha wote,na Kuna makanisa wakatoliki Kama wapo wachache wanachovyewa mkate kwenye divaiWakatoliki(waamini)huwa hawanywi divai wanaokunywa ni Lutheran