Uwepo wa mafuta katika eneo ninaloishi

Uwepo wa mafuta katika eneo ninaloishi

Oil-Seeps-2.jpg
 
Kama ni Ruvuma au maeneo fulani ya Iringa itakuwa ni mafuta

Je maji hayo yanaweka utando wa brown wenye kung'aa?
Hii ya kuweka utando wa brown unaong'aa hata mm nimeona tulipochimba kisima maji ya kali yakaliwa hayanyweki mabaya na makali
 
Mkuu sikukatishi tamaa ila kama kuna mafuta kwenye eneo lenu jiandae kuhama tu, kwa mujibu wa sheria zetu mafuta na madini si sehemu ya Ardhi na mara tu madini au mafuta yanapopatikana ardhi inaama automatically kwenda serikalini.
 
Mafuta ghafi kutoka chini ya ardhi (oil seepage) nijambo ambalo limetokea Mara kadhaa katika field tofauti tofauti dunian na hii hutokea pale mgandamizo katika reservoir inapokuwa kubwa na h ivyo kuperekea mwamba ambao huzuia mafuta/gas kutoka kwenye reservoir (cap rock/seal) kuelemewa na hivyo mafuta huanza kupenyeza taratibu kupitia kwenye nyufa za miamba mbalimbali mpaka kufika juu ya ardhi lakini pale mafuta yanapotokea haimanisha kwamba mafuta yanapatikana usawa huo , hii itategemeana na mweelekeo wa mipasuko ya miamba huenda ikawa several kilometers kutoka hapo yanapotokea

Labda mkuu ungeweza kutufahamisha exact location ya hiyo seepage inapotokea
nimeona katika chemchem ya maji yanatoka pamoja na hayo
 
Nyanda za juu kubwa, taja sehemu specific ili wataalam wa jiolojia watudadadvulie, second kama ni kweli tutayaita hayo machimbo jna lako, mfano kuwese oil fields.
 
Mkuu sikukatishi tamaa ila kama kuna mafuta kwenye eneo lenu jiandae kuhama tu, kwa mujibu wa sheria zetu mafuta na madini si sehemu ya Ardhi na mara tu madini au mafuta yanapopatikana ardhi inaama automatically kwenda serikalini.
Ila kukiwa na bange shambani kwako ni yako hata kama hujaipanda. Nchi ya ajabu sana hii
 
Mafuta hayalipi siku hizi, wenzetu wapo bize na renewable energy
 
Back
Top Bottom