ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Ulikuwa hufahamu hata hilo?Kumbe kumuomba Mungu ni uvivu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa hufahamu hata hilo?Kumbe kumuomba Mungu ni uvivu?
Hili swali nilitaka walijibu wacha munguUlikuwa hufahamu hata hilo?
Subiri wamalize mapambio wanakuja.Hili swali nilitaka walijibu wacha mungu
Unajua ukubwa wa ulimwengu?umbali kati ya sayari mpaka sayari??
Inawezekana kama hao viumbe nao wanafanya utafiti,basi waliichunguza dunia miaka mingi sana iliopita kiasi kwamba dunia ilikua na non intelligent life au no life at all.
Wanaitwa free thinkers sio freemason au wapagani.Halafu humu JF kuna freemasons nawapagani siku hizi comments zao zakumpinga mungu tu daily
Hujui kitu ww unaongea utumbo tuHao viumbe wengine walitumiwa mitume na manabii??
Watu wanajifanya wanasayansi humu....wakati mwanasayansi mkuu ni MUNGU...NAWAULIZA BINADAMU WA KWANZA KULINGANA NA SAYANSI ZAO ALIZALIWA NANANI?AU ALIKUJAJE DUNIANI?Ni bora kuamini yupo umkose, kuliko kutoamini alafu ukamkuta aiseee sijui utakimbilia wapi, haya mambo mengine sijui ya utafiti kujua mambo ya mungu nk , ndio yaliwashinda watu wa babeli wakaishia kila mmoja kuongea lugha yake,
Jibu swaliHujui kitu ww unaongea utumbo tu
sentensi zinakinzana(self contradictory) sasa niamini hayupo halafu nimkute?Jibu ni moja tu,yupo au hayupo.Ni bora kuamini yupo umkose, kuliko kutoamini alafu ukamkuta aiseee sijui utakimbilia wapi, haya mambo mengine sijui ya utafiti kujua mambo ya mungu nk , ndio yaliwashinda watu wa babeli wakaishia kila mmoja kuongea lugha yake,