moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Wakuu,
Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa...
Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa...