Uwepo wa nembo ya Royce Roycee kwenye Engine za Airbus ya Air Tanzania

Uwepo wa nembo ya Royce Roycee kwenye Engine za Airbus ya Air Tanzania

Wakuu,

Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.

Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.

View attachment 1553543

Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.

Kila la heri wakuu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Magufuli tenaaa....
Rolls Royce,ni kampuni inayotengeneza injini za meli,boats,engine za majenereta,ni kampuni ya kigerman,wapo na ubia na MTU german,ambao vile vile ni bland ya diesel engine,zinazotumika kwenye mining trucks,meli,boats,Hawa airbus wanatengeneza Ndege,lakini kwa upande wa engine wanatumia za MTU/rolls royce,wangeweza kutumia hata za scania,caterpillar,lakini MTU/rolls-royce,wamebobea ktk engine za Ndege.Meli,
Boats/ferry's nyingi za hapa bongo zote zinatymia engine za MTU.
 
Hata makampuni makubwa duniani yanayotengeneza boat, meli, submarines n.k utegemea engine zilizotengenezwa na makampuni mengine tofauti na wao. Hao hao Rolls Royce pia wana marine segment inayotengeneza engines mbalimbali za vyombo vikubwa vya majini wakishindana na makampuni mengine makubwa kabisa kama Hyundai, Cummins, Mitsubushi na Caterpillar.

Mfano hai kampuni ya SANY HEAVY INDUSTRY CO. LTD yenye makao yake makuu Changsha, China nimeshuhudia kiwandani kwao mitambo yao mingi mikubwa wanayotengeneza kwa ajili ya kutumika kwenye ujenzi wa barabara, bandarini na migodini kama excavators, cranes za aina mbalimbali, reach stackers, empty container handlers, rollers, graders, coal mining machinery, concrete mixers and plants nyingi zikiwa zimefungwa engine za kampuni ya VOLVO.
 
Wakuu,

Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.

Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.

View attachment 1553543

Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.

Kila la heri wakuu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Magufuli tenaaa....
Ile ya nyumbu ilifutwa na mabeberu wakaweka yao, hawapendi maendeleo yetu baada ya kuona tumewazidi hata kwenye ndege.
 
Kwa hiyo Airbus hawatengenezi engine
Kampuni inayotengeneza injini za ndege ikiamua kutengeneza ndege itafirisika. Vilevile kampuni inayotengeneza ndege ikiamua kutengeneza injini itafirisika.
Popote duniani kampuni za ndege huwa hazitengenezi injini.
Ukiwaambia Boeing watengeneze injini ili watumie wanaweza tumia miaka zaidi ya 10 na wasiipate. Kwenye comments naona watu hawajaamua kutambua ubabe wa kampuni ya Honeywell Aerospace, nisijue labda inajikita tu kwenye silaha.
 
Hawa mabeberu wanatutaka nini jamani.kwanini tusianzishe viwanda vyetu 4000 vya ndege tukatengeneza ndege zetu kwa rasilimali zetu za ndani.Kwanini tukanunue kwa mabeberu wakati tunaweza kujitegemea.Hatutaki wakala wa mabeberu sisi.Aaaaah aaaaah.
 
Kuhusu uwepo wa engine za Rolce Royce ni kwamba hawa jamaa biashara yao kubwa ni kutengeneza Engine za ndege.

Kuna wakati walijiingiza kwenye biashara ya kutengeneza magari ya kifahari lakini baadae waliuza hii division ya magari kwa kampuni ya BMW.

Kuwepo kwa Engine ya Rolce Royce kwenye ndege sio uamuzi wa mnunuaji bali ni maamuzi ya mtengenezaji.

Ndege mpya inapokuwa inasanifiwa, makampuni mbalimbali ya kutengeneza Engine (Mfano General Electric, Rolce Royce) hutengeneza Engine ambayo mtengenezaji wa ndege atahitaji kutokana na specification alizotaka mtengenezaji.

Kampuni itakayotengeneza Engine bora na yenye kukidhi vigezo ndio itakayoshinda tenda ya kutengeneza Engine kwenye hio model mpya ya ndege.

Mfano wakat airbus wanatangaza ndege mpya Airbus A350-1000 General Eelectric (GE) na Rolce Royce wote walileta proposed Engine zao mwisho wa siku Rolce Royce wakashinda na Engine yao ya TRENT XWB, Kwenye tender ya Model mpya ya Boeing 747 yani Boeing 747-8 General Electric walifanikiwa kushinda na Engine yao ya GE90.

Hivyo suala la engine ni mapendekezo ya mtengenezaji kwa sababu yeye ndie anaejua ndege yake imetengenezwa kwa malengo ya kukidhi mahitaji yapi na kwa viwango gani.
Wanatengeneza hadi Engine za Meli
 
Asante kwa mtoa Uzi pia na walio comment I learned something ever before,.
 
Rolls Royce,ni kampuni inayotengeneza injini za meli,boats,engine za majenereta,ni kampuni ya kigerman,wapo na ubia na MTU german,ambao vile vile ni bland ya diesel engine,zinazotumika kwenye mining trucks,meli,boats,Hawa airbus wanatengeneza Ndege,lakini kwa upande wa engine wanatumia za MTU/rolls royce,wangeweza kutumia hata za scania,caterpillar,lakini MTU/rolls-royce,wamebobea ktk engine za Ndege.Meli,
Boats/ferry's nyingi za hapa bongo zote zinatymia engine za MTU.

Mkuu, naomba nikuweke sawa kwamba Rolls Royce ni waingereza na kampuni yaitwa Rolls Royce Holdings na makao makuu yapo London.

Baada ya Uhuru waingereza walimwachia hayati baba wa taifa hiyo gari na ikawa yapokea wageni wa kitaifa na sasa ni sehemu ya historia.

BMW wanatumia jina la Rolls Royce kama "joint venture" na yaitwa Rolls Royce Deutschland au BMW Rolls Royce kutengeneza injini ziitwazo BR700 na BR725 kwa ndege za kawaida na zile za Gulfstreem G650.

Ndege hizi i mahsusi kwa matajiri na vibosile wa makampuni na mabiashara makubwa na humo ndani zina internet ya wireless na simu za satelite.

Kuna ndege mpya kabisa yaja sokoni yaitwa Gulfstreem G700 itaanza kuuzwa 2022 na itagharimu kiasi cha dola milioni 75!
 
Kuhusu uwepo wa engine za Rolce Royce ni kwamba hawa jamaa biashara yao kubwa ni kutengeneza Engine za ndege.

Kuna wakati walijiingiza kwenye biashara ya kutengeneza magari ya kifahari lakini baadae waliuza hii division ya magari kwa kampuni ya BMW.

Kuwepo kwa Engine ya Rolce Royce kwenye ndege sio uamuzi wa mnunuaji bali ni maamuzi ya mtengenezaji.

Ndege mpya inapokuwa inasanifiwa, makampuni mbalimbali ya kutengeneza Engine (Mfano General Electric, Rolce Royce) hutengeneza Engine ambayo mtengenezaji wa ndege atahitaji kutokana na specification alizotaka mtengenezaji.

Kampuni itakayotengeneza Engine bora na yenye kukidhi vigezo ndio itakayoshinda tenda ya kutengeneza Engine kwenye hio model mpya ya ndege.

Mfano wakat airbus wanatangaza ndege mpya Airbus A350-1000 General Eelectric (GE) na Rolce Royce wote walileta proposed Engine zao mwisho wa siku Rolce Royce wakashinda na Engine yao ya TRENT XWB, Kwenye tender ya Model mpya ya Boeing 747 yani Boeing 747-8 General Electric walifanikiwa kushinda na Engine yao ya GE90.

Hivyo suala la engine ni mapendekezo ya mtengenezaji kwa sababu yeye ndie anaejua ndege yake imetengenezwa kwa malengo ya kukidhi mahitaji yapi na kwa viwango gani.
Asante kwa somo,nimejifunza
 
Wakuu,

Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.

Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.

View attachment 1553543

Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.

Kila la heri wakuu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Magufuli tenaaa....
Wewe bwege kweli akili Kama ya kuku. Kwenye picha imeandikwa kabisa "Rolls Royce" wewe kwenye heading umeandika utumbo wa mbuzi. Hivi hicho ki Tecno chako hakina spell check?
Njoo pm nikuelekeze maduka ya simu yalipo
 
Nimekupa thanks kwa vile una kiu ya kujua.
Mkuu Rolls Royce ni mtengenezaji wa Jet Propulsion engines maarufu sana duniani.
Mtengenezaji ndege huwa hatengenezi Jet Engines, yeye anatengeneza fuselage(body) ya ndege.

Watengenezaji maarufu wa Jet Engines ni kama General electric , Pratt and Whitney , Rolls Royce , Northrop Grumman.

Haya ni makmpuni makubwa ya kutengeneza engines na yamejipatia umaarufu na utajiri mkubwa kutokana na kutengeneza vile vile engines kwa ndege za kivita.
Hapo kampuni tatu ni za kimarekani
 
Rolls Royce,ni kampuni inayotengeneza injini za meli,boats,engine za majenereta,ni kampuni ya kigerman,wapo na ubia na MTU german,ambao vile vile ni bland ya diesel engine,zinazotumika kwenye mining trucks,meli,boats,Hawa airbus wanatengeneza Ndege,lakini kwa upande wa engine wanatumia za MTU/rolls royce,wangeweza kutumia hata za scania,caterpillar,lakini MTU/rolls-royce,wamebobea ktk engine za Ndege.Meli,
Boats/ferry's nyingi za hapa bongo zote zinatymia engine za MTU.
Kampuni ya uingereza hiyo
 
Back
Top Bottom