Optimus_Prime
Senior Member
- Nov 14, 2017
- 137
- 284
RR wanatengeneza hizo jet engineWakuu,
katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa....
Umedadavua vizuri sana ukiwa na mifano hai...
Kongole sana mkuu.
hata ndege ya Trump ina Engine ya Rolls royce,engine za rolls Royce zinasifika kuwa na kelele ndogo na ufanisi mzuri so ni kawaida Airbus kuwa na Engine ya Rolls Royce
pia ni vizuri kuwa na hiyo Engine kwa sababu nilisikia Trump anasema baadhi ya Airport ni noise restricted so huwezi kuruhusiwa kutua na ndege yenye kerere
Nimekupa thanks kwa vile una kiu ya kujua.Wakuu,
katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
View attachment 1553543
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa....
Wakuu,
Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
View attachment 1553543
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa....
MkuuNaanza kuhisi kuwa hata hizi ndege hazikuwa mpya. Yalikuwa used wakaweka Engine nyingine.
MkuuWafute hiyo nembo haraka, au walipieTangazo
Wafute halafu hiyo sehemu iandikwe "hapa kazi tu".Wafute hiyo nembo haraka, au walipieTangazo
Magufuli ni Injinia wa ndege au Dr. wa maganda ya korosho????VIVA Magufuli haya yote ni matunda yake,,,
Ndio watengenezaji wakubwa wa engines za ndege dunianiWakuu,
Katika pita pita yangu nilibahatika kuisoma vizuri engine ya kushoto ya ndege yetu Murua kabisa ya "Airbus 220" iliyokua imepaki pale JNIA.
Kitu kilicho-catch attention yangu ni nembo ya Rolls Royce's ambayo imechorwa.
View attachment 1553543
Wajuvi naomba mtusaidie kuna kahusiano chochote kati ya Rolls Royce's na Airbus.
Kila la heri wakuu.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Magufuli tenaaa....