Uwepo wa Rev. Fr. Charles Kitima kwenye utiwaji saini wa Mkataba wa DP World unahitaji majibu

Uwepo wa Rev. Fr. Charles Kitima kwenye utiwaji saini wa Mkataba wa DP World unahitaji majibu

Tumsifu Yesu Kristu.

Leo tarehe 22.10.2023 umehudhuria kikao cha utiaji saini HGA kwa ajili ya uendeshwaji na uendelezwaji wa Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa wewe ndo uliyekuwa kinara wa kupinga uwekezaji wa DP World hapa Nchini, na leo umehudhuria kikao cha utiaji saini jambo lile lile ulilolipinga kwa nguvu zote, Waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania tunaomba utoe ufafanuzi wa kina tena bila kupepesa macho kuhusu suala hili. Kama ufafanuzi wa kina hautatolewa haraka:-

(1) Binafsi sitatoa sadaka wala mchango wowote ule Kanisani, kwani sitakuwa tena na Imani na Kasisi yeyote yule. Lakini pia nitawashawishi na Waamini wengine kuchukua hatua nilizochukua.

(2) Nitajiuzuru nyadhifa zangu zote katika Kanisa na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.

Tunaomba bila kupoteza muda mwingi jitokezeni kutoa maelezo ya kina.
wamebadilisha vipengele, kwanini wasiende?
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
 
Umemsikiliza rais?
1. Hujaona kuwa mkataba umerekebishwa na sasa una ukomo wa miaka 30?
2. Hukumbuki kuwa TEC ilipinga baadhi ya vipengele hasa mkataba kutokuwa na ukomo na sasa umerekebishwa?

3. Hujamsikia rais kuwa walilazimika kuwaingiza baadhi ya wadau kufanya majadiliano ya kurekebisha mkataba ni pamoja na TEC...LABDA?
Kama hivyo ndivyo walipaswa kuandaa waraka mwingine unao ainisha haya uliyoorodhesha hapa na usomwe tena kwa waumini kwa wiki 6. Kama vipengele vilirekebishwa na wao wakaridhia ila wakakaa nalo basi wamewafanyia sanaa waumini
 
Tumsifu Yesu Kristu.

Leo tarehe 22.10.2023 umehudhuria kikao cha utiaji saini HGA kwa ajili ya uendeshwaji na uendelezwaji wa Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa wewe ndo uliyekuwa kinara wa kupinga uwekezaji wa DP World hapa Nchini, na leo umehudhuria kikao cha utiaji saini jambo lile lile ulilolipinga kwa nguvu zote, Waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania tunaomba utoe ufafanuzi wa kina tena bila kupepesa macho kuhusu suala hili. Kama ufafanuzi wa kina hautatolewa haraka:-

(1) Binafsi sitatoa sadaka wala mchango wowote ule Kanisani, kwani sitakuwa tena na Imani na Kasisi yeyote yule. Lakini pia nitawashawishi na Waamini wengine kuchukua hatua nilizochukua.

(2) Nitajiuzuru nyadhifa zangu zote katika Kanisa na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.

Tunaomba bila kupoteza muda mwingi jitokezeni kutoa maelezo ya kina.
Kutoa maoni ni haki ya kila mwananchi. Maaskofu walitoa maoni yao, lakini mwenye maamuzi ya mwisho ni serikali. Huna haja ya kuwalaumu maaskofu. Wao walishatua mzigo.
 
Kama hivyo ndivyo walipaswa kuandaa waraka mwingine unao ainisha haya uliyoorodhesha hapa na usomwe tena kwa waumini kwa wiki 6. Kama vipengele vilirekebishwa na wao wakaridhia ila wakakaa nalo basi wamewafanyia sanaa waumini
Wana deni kwa jamii
 
Tumsifu Yesu Kristu.

Leo tarehe 22.10.2023 umehudhuria kikao cha utiaji saini HGA kwa ajili ya uendeshwaji na uendelezwaji wa Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa wewe ndo uliyekuwa kinara wa kupinga uwekezaji wa DP World hapa Nchini, na leo umehudhuria kikao cha utiaji saini jambo lile lile ulilolipinga kwa nguvu zote, Waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania tunaomba utoe ufafanuzi wa kina tena bila kupepesa macho kuhusu suala hili. Kama ufafanuzi wa kina hautatolewa haraka:-

(1) Binafsi sitatoa sadaka wala mchango wowote ule Kanisani, kwani sitakuwa tena na Imani na Kasisi yeyote yule. Lakini pia nitawashawishi na Waamini wengine kuchukua hatua nilizochukua.

(2) Nitajiuzuru nyadhifa zangu zote katika Kanisa na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.

Tunaomba bila kupoteza muda mwingi jitokezeni kutoa maelezo ya kina.
Usicheze mbali unga robo!
Screenshot_20230927_200243.jpg


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
It seems RC wameshapiga dili kimyakimya.

Zile saini za wale maaskofu 37 zimenajisiwa hivihivi.

Otherwise kwa nini wasiwe wakweli kwetu, waueleze umma na dunia kuwa kipengele gani kimebadilishwa katika IGA?

Otherwise It is shameful maaskofu kukana waraka wao kwa nyendo za aibu ya wazi namna hii!. Can't be trusted!
 
Hatetereki wapi...,mbona ameshindwa kukabili majizi ya miradi mbali?!....,na ktk ofisi za serikali, ulimsikia nani akiadhibiwa kutoka kwenye reports za CAG...,We miss Magu.
Wameshaambiwa wale kwa kamba zao zenye urefu kwa hio watakula na kula tena, tusubiri madudu ya report ijayo ya CAG ushuhudie walivyopiga tena kwenye mshono
 
Kama hivyo ndivyo walipaswa kuandaa waraka mwingine unao ainisha haya uliyoorodhesha hapa na usomwe tena kwa waumini kwa wiki 6. Kama vipengele vilirekebishwa na wao wakaridhia ila wakakaa nalo basi wamewafanyia sanaa waumini
Hizo zitakuwa siasa.
 
RC wameshapiga dili.

Can't be trusted!

Otherwise kama IGA palepale, na
kama IGA haijabsdilishwa hata nukta, basi waraka wao ulikuwa ni bure.

Otherwise utabariki vipi HGAs wakati IGA ni ileile mbovu na haijabadilishwa hata nukta?
 
RC wameshapiga dili.

Can't be trusted!

Otherwise kama IGA palepale, na
kama IGA haijabsdilishwa hata nukta, basi waraka wao ulikuwa ni bure.

Otherwise utabariki vipi HGAs wakati IGA ni ileile mbovu na haijabadilishwa hata nukta?
Wapige dili!...?nani awape dili!?..acheni kujiosha
 
kwaio tec wamenunuliwa kwa m100 na vijizawadi kwa Kadinali wa Tabora[emoji23][emoji28]
kuna watu mnaupofu mbaya sana,hamuoni mambo yapo wazi kabisa na hamuoni,,,!
wamebadilisha vipengele, kwanini wasiende?
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
 
wamebadilisha vipengele, kwanini wasiende?
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.

Huo mkataba mpya umeuona?

IGA iko vilevile, haijabadilishwa hata nukta.
 
Dah magoti mwenye kibiongo namuona kwa mbaaaali
 
wamebadilisha vipengele, kwanini wasiende?
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)

7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Tec awakutaka maboresho ya vipengele walichosema ni mkataba ufutwe watanzania wanao uzoefu wa kusimamia bandari.
Nenda kasome waraka ndugu.tec wasanii.
 
Back
Top Bottom