sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Tatizo sio Kuwakaribisha wawekezaji bali ni aina ya mikataba, mfano hii mikataba ya waarabu kama wa bandari hauvunjiki hadi wao watake uvunjike ndio maana unaitwa wa milele.
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro.
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
Ni kitu gani kingine hatukijui?
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro.
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
Ni kitu gani kingine hatukijui?