Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Hata mimi nilishangaa niliposoma haya:3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
"Marehemu Mtenga ni kati ya wanafunzi 260 wa Tanzania waliokwenda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo chini ya mpango wa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Israel"
What? Wamekwenda kujifunza kilimo huko jangwani? Kweli ukishangaa ya Musa, utastaajabu ya Firauni.