mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Hapana mlikosea pale mlipokubali kuwepo kwa serikali mbili badala ya tatu na mkampigia makofi Nyerere, mlikosea pale Aboud Jumbe na ujumbe wake ulipokuja kutaka kuwepo kwa serikali tatu mkamcheka na mkamwambia "toka lini 1+1 = 3"! Unayakumbuka hayo au ulikuwa mdogo sana yalipotokea hayo? Yote hayo yalifanywa na CCMNaomba mtusamehe!
Tulikosea pale tulipoamua Mwenyekiti wa chama awe ndio Rais kazi ya check and balance ilishindwa kufanyika ipasavyo!!
Nadhani wenye mamlaka watalifanyia kazi hilo!
Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo SANA!!
Kwanini wanaogopa serikali moja au tatu?Hapana mlikosea pale mlipokubali kuwepo kwa serikali mbili badala ya tatu na mkampigia makofi Nyerere, mlikosea pale Aboud Jumbe na ujumbe wake ulipokuja kutaka kuwepo kwa serikali tatu mkamcheka na mkamwambia "toka lini 1+1 = 3"! Unayakumbuka hayo au ulikuwa mdogo sana yalipotokea hayo? Yote hayo yalifanywa na CCM
Tukumbushe kidogo ya posta yalitokea mwaka gani vile? Chini ya uongozi wa nani? Ukijibu hilo utajuwa kuwa hakusahau ila hailengi malengo yake binafsi. Kwa hiyo hakusahau posta, hakusahau benki na hakusahau wizi wa CAG enzi za Magufuli!Umesahau na shirika la posta pia.
Soon utaona ya ttcl
Tukumbushe kidogo ya posta yalitokea mwaka gani vile? Chini ya uongozi wa nani? Ukijibu hilo utajuwa kuwa hakusahau ila hailengi malengo yake binafsi. Kwa hiyo hakusahau posta, hakusahau benki na hakusahau wizi wa CAG enzi za Magufuli!
Laiti wangelikuwa wakweli kwa hilo na pia ni kwa nini wanashadidia kuwepo kwa muungano waktii huo huo wanasema zanzibar inawatia hasara na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Wanasema zanzibar ni mzigo kwao lakini wao wao ndio wanaosisitiza kuwepo kwa muungano, Wazanzibari wanalia wanataka muungano uvunjwe lakini bara wanasema No!Kwanini wanaogopa serikali moja au tatu?
Nakwambiaje ndugu yangu. Afya ya akili ni tatizo kubwa sana hapa nchini.Kichwa cha habari nchi inauzwa
Unaingia ndani unakuta mikataba ya "ushirikiano"
Utasema aliendika hakufika hata darasa la tano...kumbe anajua anachofanya
Ewe mwenye akili finyu na ufahamu mdogo, punguza chuki na usome vizuri hiyo makala uliyoileta hapa halafu uniambie ni wapi panaposema kuwa posta imuzwa kwa waarabu? Unajua maana ya neno "kushirikiana" wewe?Shirika la Posta kushirikiana na Posta ya Falme za Kiarabu
Tangu awamu ya 6 imeanza Waarabu wanaitafuta Tanganyika kwa kila hali.www.jamiiforums.com
Wewe zuzu soma hiyo mada.
Bado waichukue na CCM mazima!!Tatizo sio Kuwakaribisha wawekezaji bali ni aina ya mikataba, mfano hii mikataba ya waarabu kama wa bandari hauvunjiki hadi wao watake uvunjike ndio maana unaitwa wa milele.
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
View attachment 2664267
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro,
View attachment 2664268
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
View attachment 2664265
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
View attachment 2664266
Ni kitu gani kingine hatukijui ?
Ametumia kichwa cha habari chonganishi, ni kwamba anawaachia wachangiaji wa mada kazi ya kutema sumu na nyongo zao kadri uzi utakavyokuwa unasogea.Kichwa cha habari nchi inauzwa
Unaingia ndani unakuta mikataba ya "ushirikiano"
Utasema aliendika hakufika hata darasa la tano...kumbe anajua anachofanya
Wanajua kuwa wakiwatukanisha waarabu kwa wachangiaji wa mada zao wataupata mrejesho wanaoutegemea.Mbona hukuuliza kuhusu project zinazosimamiwa/kumilikiwan a wachina pamoja na wazungu kama vile constructions, migodi na biashara kwa ujumla. Kama Tanzania kuuzwa basi Tanzania basi imeuzwa kwa wachina lakini hilo halilalamikiwi na watanzania kama wewe. Nimefanya google ya haraka haraka na nimesoma kutoka chinese official websites kuwa kuna chinese-state funded projects Tanzania zifikazo 92!!! Kutoka migodi hadi trade! Yupi kati yenu alolalamika hapa? Kuwa mkweli hasa hapa ambapo hujulikani idenditity yako halisi, sababu kubwa ya makelele yote haya sio kuendeshwa miradi mbali mbali na nchi za nje bali ni uendeshwaji wa miradi hiyo na nchi za kiarabu. Huo ndio ukweli. Next!!!!!!
Hahahahaha nazungumzia DUBAI sio USA. Asante Kwa taarifa ya USMikataba ya ushirikiano hata na USA alisaini mikataba zaidi ya 15
Na China zaidi ya 11..
Main point ni "ushirikiano"...
Msijitoe ufaham kuongea uzushi
Shida yako ni nini? Kote ulikotaja utawakuta UK na Germany na Norway na hata Benki ya Dunia. Bwawa la Mtera lilijengwa na Kuwait, hospitali ya Mkoa ya Singida kwa kina tundulissu ina ufadhili wa Italia.Tatizo sio Kuwakaribisha wawekezaji bali ni aina ya mikataba, mfano hii mikataba ya waarabu kama wa bandari hauvunjiki hadi wao watake uvunjike ndio maana unaitwa wa milele.
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
View attachment 2664267
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro.
View attachment 2664268
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
View attachment 2664265
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
View attachment 2664266
Ni kitu gani kingine hatukijui?
Masdar ni kampuni 3 kubwa ulimwenguni kwenye miradi ya Solar energy, Zimbabwe wanajenga mradi wa $500m, Wana ujuzi,Pesa na ni watimizaji. ABU DHABI wamejenga eneo linaitwa MASDAR CITY hambapo maturities ya umeme wote ni wa Solar tuuTatizo sio Kuwakaribisha wawekezaji bali ni aina ya mikataba, mfano hii mikataba ya waarabu kama wa bandari hauvunjiki hadi wao watake uvunjike ndio maana unaitwa wa milele.
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
View attachment 2664267
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro.
View attachment 2664268
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
View attachment 2664265
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
View attachment 2664266
Ni kitu gani kingine hatukijui?
Tusichokijua ni motive behind ya ukwapuaji huuTatizo sio Kuwakaribisha wawekezaji bali ni aina ya mikataba, mfano hii mikataba ya waarabu kama wa bandari hauvunjiki hadi wao watake uvunjike ndio maana unaitwa wa milele.
1. BANDARI - Na sasa kuna mkataba huu wa bandari ambao ndio unazungumziwa zaidi sababu kipengere cha kuuvunja ni mpaka waarabu nao wakubali kuuvinja, ni kama mkataba wa milele tu.
View attachment 2664267
2. MBUGA YA NGORONGORO - Ilianza na Mbuga mwaka Jana, waandishi wa habari kama Maulid Kitenge hawahawa wanaoshadadia bandari apewe mmwarabu ndio hawa hawa walikuwa mstari wa mbele kutangaza wamaasai wahame ngorongoro.
View attachment 2664268
3. MISITU YA TAIFA - Mwezi February, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu
View attachment 2664265
4. TANESCO - kampuni ya falme za kiarabu ya UAE inayoitwa MASDAR ilisaini mkataba wa ushirikiano na kuzalisha umeme na TANESCO.
View attachment 2664266
Ni kitu gani kingine hatukijui?
Tuwache ujinga na unafiki, kama hujafika Dubai ama Abu Dhabi au Sharjah, warlike wakiofika, hawa watu wamelibadilisha jangwa kuwa Kijani, tena miji yao iko kijani zaidi ya sie tulio na Mvua na ardhi yenye rotuba. Tunachofanya ni chuki tuu. Angekuwa ngozi nyeupe sote tungekuwa YES SIR.Hio namba 2 ndo naelewa Sasa aliposema wanyama hawali madini.
Mwarabu wa jangwani na misitu wapi na wapi.
Hao hata ukiwapangisha nyumba Ina miti wanakata wanataka jangwa wao Wana Imani eti miti inaleta majini ndio wawe wataalamu wa misitu kweli,misitu inahitaji utaalamu upi wa usimamizi.
Hao wanataka kuchimba madini mbugani kumbuka mbuga na hifadhi zote ndipo hifadhi za madini plus malikale za wajerumani ndipo zimejaa.
Hazina ya taifa ipo mbugani achana na takataka zingine