Mkuu umeongelea vita kwa mlengwa wa kisiasa tuu. Vipi kuhusu ugaid, uvamiz wa mipaka n. K.War is madness.
Vita ni upumbavu.
Uanajeshi na Uaskari ni kazi za kipumbavu kuwahi kutokea ulimwengu.
Yani unapoteza uhai wako kisa wanasiasa wanaoketi ikulu wakila, kunywa na kushiba wakipata mamilioni ya fedha.
Halafu wewe unapiga mazoezi makali, mshahara unapata kiduchu, unaacha familia yako ikiteseka unaenda maporini kumiminiana risasi na wajinga wenzako.
Mnauana na kupata vilema vya maisha.
Ndio maana wanajeshi wengi wakitoka vitani wanapata ile Post-Traumatic Stress Disorder(PTSD) wakikaa chini na kujitafakari wanaona jinsi walivyokuwa wapumbavu.
Uhai wako ni kitu muhimu sana usiweke rehani maisha yako kwa kupambania wanasiasa wawili walioshindwa kukaa chini kutatua bifu zao.
View attachment 3222462
Kabla haujabeza mfumo wa ulinz kiinch tafakari kwanza mfumo/askari wa mwili wako wew.
Unadhani antibodies wa mwili wako wanapambana na adui wangap mwilin mwako wanaotokana upuuz, ulafi na ukosefu maarifa wako?. Je, ni halali wangepuuza kukupambania ili ufe kwakuwa ni kosa au uzembe wako?.