Uwezekano wa 1 USD kufika 2600+ Tanzania Shilling kabla ya mwisho wa mwezi, Technical analysis.

Uwezekano wa 1 USD kufika 2600+ Tanzania Shilling kabla ya mwisho wa mwezi, Technical analysis.

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
Kwanza kabisa tumeshuhudia Tzsh ikigain momentum over the last end of the last year, lakini maswali ya kujiuliza Je ni economic factors zilizofanya Tzsh kufika about 2300/= per 1$ au ni circulation factors Kwa maana ya bank kuinject more $ on circulation, na fact nyinginezo ambazo ni mbali na kukuwa kiuchumi.

Bei ya $ ingeweza kuwa stable Kwa muda mrefu ikiwa tu ni kwasabu za kiuchumi na sio kucheza na mizunguko. Sasa tuangalie kwanini nasema $ inaweza fika Tsh 2600 kabla ya mwezi huu kuisha.

Tuangalie chart na jinsi market iliclose on Friday.

Screenshot_20250112-092907.jpg


Kwenye chart hapo hiyo ni daily timeframe kwenye mwezi decemba tulishuhudia imbalance kubwa ya price Kwa maana tofauti kubwa ya wauzaji na wanunuaji, jambo ambalo lilipelekea tuone hiyo FVG (fair value gap) ambayo nimezungushia boksi jekundu.
Sasa Kwa kawaida price Huwa inatakiwa iwe balanced, ndiomana market trend Huwa inamove kujitahidi kubalance sehemu ilizoacha inefficiency na tukiangalia hapo, FVG ilitokea kuanzia level ya 2600/= technical Kuna uwezekano mkubwa wa price kufika 2600+ exchange rate USD/TZS kama Bank haitachukua Hatua.

N:B
Not an investment advice
 
Baada ya kufika $1 kuwa 2600 Tsh
Tutaangalia jinsi DeepSeek inavyoweza leta athari kubwa kama ilivyofanya kwenye crypto,
BTC imehit lowest from $100k below Kwa muda wote tangu Trump aingie madarakani.
Thamani ya pesa inategemeana vitu endelevu na sio short term plans.
$ yaweza kuitafuta 3000 Tsh,
 
So aliyekuwa na dola $230k end of last year, akafanya holding, akaja akazitoa now for $270k ana margin ya $40k in less than 2 months.
 
So aliyekuwa na dola $230k end of last year, akafanya holding, akaja akazitoa now for $270k ana margin ya $40k in less than 2 months.
Anza kusanya tunza ndani rate ikipanda umeula 😃
 
Baada ya kufika $1 kuwa 2600 Tsh
Tutaangalia jinsi DeepSeek inavyoweza leta athari kubwa kama ilivyofanya kwenye crypto,
BTC imehit lowest from $100k below Kwa muda wote tangu Trump aingie madarakani.
Thamani ya pesa inategemeana vitu endelevu na sio short term plans.
$ yaweza kuitafuta 3000 Tsh,

Baada ya kufika $1 kuwa 2600 Tsh
Tutaangalia jinsi DeepSeek inavyoweza leta athari kubwa kama ilivyofanya kwenye crypto,
BTC imehit lowest from $100k below Kwa muda wote tangu Trump aingie madarakani.
Thamani ya pesa inategemeana vitu endelevu na sio short term plans.
$ yaweza kuitafuta 3000 Tsh,
DeepSeek imeleta athari gani kwenye crypto?
 
DeepSeek imeleta athari gani kwenye crypto?
Screenshot_20250215-091108.jpg


Kuna token nyingi ambazo ni DeepSeek fake ziliingizwa kwenye Blockchain, zipo zilizofikia market cap ya $13M na kushuka mpaka $8M na zipo zilizofikia mpaka market cap ya $48M
Kwahiyo Kuna watu wanamiliki crypto fake nyingi ambazo ni unauthorized kabisa. Wahuni wakiswap liquidity Kwa kutumia exit scam watu watazidi kulia.

Zilianza coin fake za $TRUMP na $MELLANIA ambazo zipo unazoweza trade 👉 Trade $TRUMP vs USD ukatrade against USD. na baada ya kuja DeepSeek wahuni wameingiza token fake nyingine kwenye Blockchain.

Hii Hali imesababisha Bitcoin kushuka from $100k na kiujumla crypto market cap imetoka $3.6 Trillion mpaka $3.3 Trillion.
Hiyo ndio effect ya DeepSeek kwenye crypto,
Na wahuni sikuhizi wanatumia X kuscam kama alivyotufanyia Mo Dewji.

Hapa chini ukiangalia utaona effect ya DeepSeek kwenye Etherium.
Screenshot_20250215-092345.jpg
 
Uzi wa kibabe sana huu sema hatuna uelewa wa mambo mengi sana vijana wa hii nchi.
 
View attachment 3236779

Kuna token nyingi ambazo ni DeepSeek fake ziliingizwa kwenye Blockchain, zipo zilizofikia market cap ya $13M na kushuka mpaka $8M na zipo zilizofikia mpaka market cap ya $48M
Kwahiyo Kuna watu wanamiliki crypto fake nyingi ambazo ni unauthorized kabisa. Wahuni wakiswap liquidity Kwa kutumia exit scam watu watazidi kulia.

Zilianza coin fake za $TRUMP na $MELLANIA ambazo zipo unazoweza trade 👉 Trade $TRUMP vs USD ukatrade against USD. na baada ya kuja DeepSeek wahuni wameingiza token fake nyingine kwenye Blockchain.

Hii Hali imesababisha Bitcoin kushuka from $100k na kiujumla crypto market cap imetoka $3.6 Trillion mpaka $3.3 Trillion.
Hiyo ndio effect ya DeepSeek kwenye crypto,
Na wahuni sikuhizi wanatumia X kuscam kama alivyotufanyia Mo Dewji.

Hapa chini ukiangalia utaona effect ya DeepSeek kwenye Etherium.
View attachment 3236785
Nashukuru sana maelezo yamenyooka
 
Back
Top Bottom