Uwezekano wa Barcelona kufungiwa kushiriki Kombe la Mabigwa Ulaya (UEFA)

Pamoja na ubora wote lakini Barcelona wamekuwa wakipendelewa kupita maelezo. Ile nusu fainali na Chelsea ni ushahidi tosha
 
Siwapendi Hawa kenge
 
Sasa kwenye like game walipendelewa NINI ??! Tuanze hapo
Marefa wa Ulaya wanatumia technics za hali ya juu katika kuzibeba timu zao pendwa au walizohongwa. Angalia miaka yote hii mimi na wewe tunajua kuwa ilikuwa ni mpira wa Barcelona wenyewe bila usaidizi wowote toka kwa marefa wa Hispania kumbe kuna hongo zilikuwa zinatembea katika usimamizi wa mechi zao. Ingekuwa bongo tungeshagundua Mara moja maana wakwetu huku wanatoa penati hata pasipo stahili🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…