Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwapendi Hawa kengeChama cha Mpira barani Ulaya UEFA, inaichunguza timu ya Barcelona juu ya madai ya kuilipa kampuni ya Jose Mara Enriquez Negreira ambaye ni Makamu wa Raisi mstaafu wa chama cha marefa Hispania.
Nyaraka za mahakama zinaonesha kuwa, Barcelona imelipa kiasi cha €7.3m ambayo ni sawa na paundi 6.5m kuanzia mwana 2001 mpaka 2018 kwa kampuni hiyo.
Uchunguzi huu ukikamilika inaweza kupelekea Barcelona kufungiwa kujihusha na mashindano yote yanayoandaliwa na UEFA.
Uchunguzi huu umeombwa na bodi ya uongozi UEFA na mpaka kufikia sasa uchunguzi huu umeshaanza kufanywa na waendesha mashtaka wa nchini Hispania.
Source: Sky Sports
Marefa wa Ulaya wanatumia technics za hali ya juu katika kuzibeba timu zao pendwa au walizohongwa. Angalia miaka yote hii mimi na wewe tunajua kuwa ilikuwa ni mpira wa Barcelona wenyewe bila usaidizi wowote toka kwa marefa wa Hispania kumbe kuna hongo zilikuwa zinatembea katika usimamizi wa mechi zao. Ingekuwa bongo tungeshagundua Mara moja maana wakwetu huku wanatoa penati hata pasipo stahili🤣Sasa kwenye like game walipendelewa NINI ??! Tuanze hapo
BArca walkfKa uchambuzi wa makosa ya referee wanini mpaka walipie na helaUmeeleza vizuri SANA SANA na huu ndo uchambuzi
Game ya Chelsea watu wanashika mpira ila Refa anapeta....Nkikumbuka ile come-back aliyopigiwa PSG naamin