Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

alisikika tahira mmoja akiongea peke yake
 
Kuna wakati akili za mizimu nda akili sahihi zaidi kutumika kwa wakati huo, ukijifanya sober muda mwingine unapotea kijasiri bila mwenyewe kujua kama unapotea. Wacha movie iendelee
Dah id hii ndio founders wa jf
Ulipotea sana
 
Itakapofikia hapo, wakati wa kufanya maamuzi ya nani anapaswa kuivusha ccm, itategemea mshindi wa kati ya makundi haya mawili, lile la Kikwete na lile la Lowassa,
Wewe mwenzetu ulikwenda kujificha pango gani hadi kusahau kuwa enzi hizi hayo unayoyaandika ni historia!
Nchi hii inayo maajabu mengi. Bado unazungumza habari za Lowassa?
Kikwete bado awe na kundi,ndani ya CCM toka wapi? Hilo kundi litaanzia wapi?
 
Ndiyo maana kwa muda sasa hatujawahi kuwekewa rais mpya aliyefungamana na rais aliyetoka. Hapo tujiulize nini hutokea pamoja na kuwa na hizo 'powers'.
Ndugu yangu, wazungu huwa wana msemo unasema kuwa "the unexpected always occurs"! Come 2025, JPM will surprise you. He is different! Ataweka mtu anayemtaka na huyo ndiyo atakuwa Rais wetu baada ya yeye
The unexpected always occurs! Come 2025, JPM will surprise you. He is different
 
Ma-conder?
 
Ukishamuingiza Ngoyai kwenye hesabu zako inadhihirisha dhahiri bin shayiri kwamba political landscape yetu hujaielewa vizuri na analysis yako yote inakosa uhalisia.
Ngoyai for all instances and purposes amestaafu siasa.
 
LOWASA HATA AKIGOMBEA KUGOMBEA KUPITIA CCM NITAMCHAGUA TU HUYU MZEE NOMA.
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
ukae ukikumbuka hautaishi milele sifa ya mtu kufa.
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...
Usishangae unakufa wewe unamuwacha lowasa anadunda zaidi ya miaka 10 ijayo
 
Ccm mwisho wenu ndiyo umewadia wa kupelekwa kuzikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…