Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Mpaka wananchi hawataki hata kumsikia😂😂😂
https://www.facebook.com/
 
Sema wewe na wenzako mnaofaidika na huu utawala wenye mambo ya hovyo kabisa!!
 
Mtoa hoja hebu wache EL apambane na afya yake....mnyukano huu uendelee tu hadi kieleweke, wakongwe wa siasa dhidi ya wageni.

CCM imewatesa sana watanzania hawa; mabillioni yakapotea katiba watu wachache wameizuia mwenye kabati...laahh

Ni wakati muafaka wa wana ccm kugawana mbao....chama kishaisha.
 
Una ushahidi wa kiutafiti??
 
Wanashindana mshindi atachukua nchi 2020. Hawawezi kugawana mbao kiasi wapinzani wakachukua 2020. Ni kwa sababu wapinzani bado hawajawa serious maana kama kuchoka watu washachoka.
 
If Tanzanians were smart enough , they wouldnt agree to be under CCM rule up to this point. What CCM has done so far to this poor country was enough to remove them from power but thanks to our education system for keeping on producing foolish people of all walks of life who cant say a word on whatever wreakless CCM does.

Ccm is a trash.
 
Kwani ninyi mnawashwawashwa na nini si muache wauane tu?Ninavyoichukia cvm basi tu
 
E. L akaombewe kwa T. B. Joshua
Na atarudia afya yake njema na nguvu
 
Yeye hana kundi mpaka ajipeleke kumdi la Lowassa?
Hakuwa nalo. Sema hawaamini watu. Hata wa kabila lake nao anawahisi watamsaliti.

Kuunda kundi ni trust na interest zaidi. Sasa mtu anataka kuunda kundi lake chini ya DAB unafikiri atafanikiwa?
 
E.L. Aende kwa T. B. Joshua akajue kinachomtatiza huenda hako Kaugonjwa ni kisingizio tu.

Aende jamaa akiwa kutulia anaweza kumueleza mengi ya kinabii
 
Wabongo wengi hawajifunzi kuwa na akiba ya maneno.
Tuna mifano mingi tu ya wachangiaji huko nyuma ambapo leo wanaona aibu wengine wameacha kbs kuwa memba wengine wamebadili IDs.

Tujifunze kuchangia hoja na sio kuleta vioja kwa mtoa mada. Dhihaka sio kitu chema,kama hukubaliani na jambo kutokuwa na sababu,onesha hivyo tu itoshe sio kutoa lawama na pengine matusi.

Kuna watu humu walitoa hoja zao zikawa,tukawapongeza kama manabii, GT,wabobezi n.k. isije fika siku huu uzi ukaibuliwa kama kaburi na kuanza kuzikimbia comments zenu.

Tuijadili hoja kwa kuweka hoja zetu hata kama ni mfia dini kundi fulani,chama,ama mtu.
 
Ndiyo maana kwa muda sasa hatujawahi kuwekewa rais mpya aliyefungamana na rais aliyetoka. Hapo tujiulize nini hutokea pamoja na kuwa na hizo 'powers'.
 
Uzi wako umeharibiwa na story za low wa saa.
Unaweza vipi kuizungumzia CCM bila kumzungumzia lowassa,kikwete mwenyewe alimtegemea lowassa kuwa rais.Bila nyerere mkapa asingekuwa rais bad boys lowassa&kikwete walikuwa wanachukua nchi ile 1995.by the way toka kuumbwa kwa CCM mtu aliyependwa na watu wote wana CCM na wasio CCM ukimtoa nyerere ni lowassa,sijui historia ya siasa ya nchi hii huijui au unajifanyisha
 
Anza tuition ili umuelewe, maana jamaa yupo yupo sana tu !


Wakati wanaume tukiongea mustakabali wa nchi yetu na vizazi vyetu wewe mtoto wa kike usichangie mada,nenda ukachambane na wanawake wenzako.hatufanyi mipasho hapa.UMESIKIA WEWE MARIAMU?
 
Hata hivyo E. L. Anapaswa kuwaomba msamaha wote alowakosea kwa kujua au kutokujua kama binadamu wengine tunavyopaswa kuzingatia !

Mungu atuhurumie siasa hususa za bongo zinamambo mengi sana maana mmnh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…