Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ufipa hoyeee [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa vichekesho vingine kama hivi piga 2020 kwa kutumia line ya Ufipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufipa hoyeee [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa vichekesho vingine kama hivi piga 2020 kwa kutumia line ya Ufipa.
Rais magufuli anatutosha,anatufaa tumwombee Mungu atawale hadi 2030
Aongoze mtu yeyote tu, ila sio lile lipumbavu lililokuwa linajiona munguCHADEMA haiwezi kuja kuongoza hii nchi hata iweje.Bora iendelee na shughuli zingine sio kusubiri embe chini ya mnazi
CCM ikae madarakani hata miaka 190 ila sio kuongozwa na lile lipumbavu tena, nadhani hata CCM kuna kitu wamejifunza kuhusu watu ws kupewa uraiskwani kuna nafuu yoyote mnapata!!!
magufuli amefariki,ccm bado ipo madarakani.
nadhani amekuacha mgonjwa wa akili.mtu ameshakufa ataongozaje tena!!!CCM ikae madarakani hata miaka 190 ila sio kuongozwa na lile lipumbavu tena, nadhani hata CCM kuna kitu wamejifunza kuhusu watu ws kupewa urais
Pointi yangu ni kuongozwa na CCM sio tatizo, tatizi ni kuongozwa na mpumbavu kama Magufulinadhani amekuacha mgonjwa wa akili.mtu ameshakufa ataongozaje tena!!!
hata jk mbali na kwamba hajafa ila hawezi kuongoza tena.
HuhKaondoka na harudi tenaaaaaaaaaa.
PERIOD!
Haha haa, pole mkuumbona baba ako ni mpumbavu na alikulea ukakua,ulisikia tukisema kitu!!!
kwa upumbavu wa mzazi wako unanipa pole mimi.Haha haa, pole mkuu
hii ni siasa, ila imeonyesha imekuuma hadi unaingiza mambo ya wazazikwa upumbavu wa mzazi wako unanipa pole mimi.
we shoga kweli,kisa cha kuanza kumtukana magufuli ukijua ni siasa uliwashwa kiungo gani,nimembakiza mama yako,endelea kujiuza hapa utapata bwana sasa hivi.hii ni siasa, ila imeonyesha imekuuma hadi unaingiza mambo ya wazazi
Au mimi kutukana mzazi wako nashindwa?
Jiwe "ovestayed" kwa miezi 5 huu utabiri." Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena."
Sitashangaa ukitumiwa vijana uwaeleze ni vipi Magufuli hatokuwepo kimwili ama kisiasa come 2020
Kwa hiyo kuna ambao hawatakuwepo ila Lowasa yeye atakuwepo ? Huu uhakika umeutoa wapi ?
Wacha niweke akiba ya maneno tutaonana Nov 2020 kama na mimi nitabahatika kuwa hai.
JPM mpaka 2222 kuongoza "mashetwani" huko jehanamu.Mtaandika utumbo weeeeeeee, kisha mtaanza kuutoa huooo utumbo weeeeee, mkichoka kalaleni.
WATANZANIA TUMESHASEMA NA KUAMUA JPM NI MPAKA 2035.
Na mnavyokomalia hakai term ya pili ndio mnatupa mzuka na sisi wa TZ tukomaë nae mpaka term ya nne.
Magufuli alikuwa mpumbavu, hilo sio tusi, ni fact. Kama vipi nenda karipoti kwa yale majambazi yake yaende JF kutafuta utambulisho wanguwe shoga kweli,kisa cha kuanza kumtukana magufuli ukijua ni siasa uliwashwa kiungo gani,nimembakiza mama yako,endelea kujiuza hapa utapata bwana sasa hivi.
Mama SamiaMkuu umenichekesha sana,sasa asipoongoza yeye ataongoza nani!
f¥nkin living.Dead..! Fuckin Dead.!
Sawa mkuu kawaida ya MUUMBA hufundisha kupitia matukio kwa sababu haiwezekani afundishe kwa chaki na ubao darasaniMakosa yote yatafanyika lakini sio la kuwapa chadema nchi.never