Uwezekano wa Man Utd kuwa bingwa wa UEFA ni 98%.

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Kwa ubabe waliouonyesha usiku wa kuamkia leo ni wazi hao vijana wadogo na wapambanaji watafika mbali.

Matokeo ya usiku ulioisha hayakutarajiwa na yeyote!Wengi wetu tuliamini kwa kufungwa kule kwao magoli mawili ndiyo ilikuwa mwisho wa safari yao.Ajabu kilichotokea ni historia.

Kwa muktadha huo nawapa asilimia nyingi Man Utd ya kuwa washindi wa kombe lile.
 


Una uhakika gani kama atabeba? Ukiangalia ball possession kazidiwa sana, sema ni bahati tu.
 
Una uhakika gani kama atabeba? Ukiangalia ball possession kazidiwa sana, sema ni bahati tu.
Sio bahati. Ni part ya game plan. It is all about being clinical and grinding out results.

Ukiwa na 30% ball possession ila ukatupia nyavuni 3 shots out of 5 na kushinda mechi, hakuna ambaye ataikumbuka team iliyokuwa inagongeana mpira kwenye half yao with 70% ball possession.
 
Naunga mkono hoja [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…