Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Afadhali umewaambiaManure hawatakaa hata siku moja washinde UCL wala EPL as long as Klopp & Pep wanaendelea kuwepo Liverpool & ManCity respectively.
ndiyo ukweli japo unauma!
Wapenzi wa Simba karibu wote ni Manchester, usishangaeMmeshaanza? Yani nyie mi jamaa kwa mikelele
Kcmc hakunaga timu. Ila man u wana kelele sana. Ngoja tuone atafika wapi. Ku a liver, city, barca, bayani, na wengine wengi tu.Utd si sawa na timu kama Lipuli,Ndanda,Arsenal na Kcmc.
Kwa hapa Bongo 79% ya dada wa kazi na bar maids ni Man U na 5imba