Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

Kwa hio wewe unahisi ukiekewa kibati Cha 300kph Basi we utaelewa ndo maximum speed gari hio inaweza fika?

Tuna Safari ndefu Sana
Nkujuze pia

Gari nyingi zenye top speed ya 320-360 Zina kibati Cha 400kph..na hizo gari huwa Zina hp Kati ya 600 Hadi 800hp


Hata me gari yangu nikitengeneza nikapima kwenye runaway nenda rudi nikapata average ya round mbili Ni maximum 220kph kibati kitakuwa Cha kwanzia 240

Hio Ni kawaida manufacture wengi wanafanya hvyo ..pia tambua speedo reading haimaanishi ndo speed unaweza fika ya mwsho gari inaweza kuwa inaweza zidi hapo mfano Audi hizo hizo inayotumia engine ya petrol v8 339hp hio inazidi kabisa 260kph ila ipo electronically limited to 255kph na inaweza kuwa na kibati Cha 260 ama 280kph

Hakuna sehemu wameandika kuwa kibati Cha gari ndo maximum speed

Hakuna mahali nimesema kuna maximum speed exactly mkuu(speed ya mwisho haipimwi kama kilo ya nyama)

Hoja hapa ni kwamba watu wanesema mambo mawili

Mosi, manufacturers “wanadanganya”
Pili, wanabandika hivyo vibati kukwepa gharama ya kutengeneza vibati tofauti kwa gari aina moja ila zinatofauti engine

Mimi nikasema hakuna lugha kama wanadanganya kubandika vibati kwenye speedometer kuna factors wanatumia kuweka hivyo
Na hakuna uzembe wa ku order the same kibati kukwepa gharama
Zaidi ya 90% ya magari huwezi kufuta hiko kibati kwa speed barabarani
 
Hakuna mahali nimesema kuna maximum speed exactly mkuu(speed ya mwisho haipimwi kama kilo ya nyama)

Hoja hapa ni kwamba watu wanesema mambo mawili

Mosi, manufacturers “wanadanganya”
Pili, wanabandika hivyo vibati kukwepa gharama ya kutengeneza vibati tofauti kwa gari aina moja ila zinatofauti engine

Mimi nikasema hakuna lugha kama wanadanganya kubandika vibati kwenye speedometer kuna factors wanatumia kuweka hivyo
Na hakuna uzembe wa ku order the same kibati kukwepa gharama
Zaidi ya 90% ya magari huwezi kufuta hiko kibati kwa speed barabarani
Hakuna aliesema wanadanganya


Ni swala la ufundi tu na akili

Ngoja nikupe mfano ..kwenye audio Kuna amplifier nyingi za makampuni mengi tu makubwa, eg Sony, pioneer, Kenwood etc ..kiwango Cha nguvu ya hio amplifier kinapimwa kwa watts ..baadhi ya manufacturer wanaandika continuous power baadhi wanaandika peak power where peak power inaeza kuwa 3times to 4 times power ya RMS au continuous power japo ndani ya box wataandika really power ya hio amp measured in RMS

Eg Kampuni A ikaandika kwnye box lake juu watts 1200w

Ila ndani wakaandika kuwa amp Ina channel mbili output inatoa watts 200 per channel jumla Ni 400w pia wakaandika peak power Ni 600w per channel where jumla ya channel mbili Ni watts 1200 ndo ilioko kwa box


Kampuni B wakaandika kwa box RMS au real power ya amp yao wakaandika let's say 600w 2ch ..means Kila channel inatoa 300w

Kwa akili ya kawaida ukikuta amplifier hizo mbili Kama hujui utasema ilioandikwa watts 1200 ndo kubwa kuliko ya 600 ..na huwezi sema Kampuni A wamedanganya wametumia ujanja kukuita wanatangaza peak power while Kampuni B wanatangaza real RMS ya amp yao..ambapo uhalisia Ni hio amp ilioandikwa watts 600 ndo inangvu zaidi


Vivo kwenye magari usikimbilie dash inavosoma mfano twende kwenye racing tuchague magari

Gari A Lina 150hp dash inasoma 260kph

Gari B ina 260hp dash inasoma 220kph inamaana wewe utachagua ile yenye dash kubwa ukiamin inaweza fua dafu mbele ya gari B?
 
Mkuu mambo ya speed sio sawa na labda ujazo au urefu au uzito kwamba unaweza ukapima tu hapo hapo na kupata majibu....... haipo hivyo haswa kwenye kutafuta speed ya mwisho ya gari

Kuna factors nyingi sana zinazosababisha speed iweje
Na ndio maana magari mengi yanayopimwa huko Youtube huwa hayafiki speed ilioandikwa

Hoja ilionitatiza sana mimi ni kusema eti sijui ni (uvivu au kuokoa gharama) kwamba makampuni yanaamua kutengeneza kibati kimoja cha speed kwa magari yote yaliotofauti badala ya kutengeneza kulingana na calculations zao kwa kibati kwa kila gari
Ndio nikauliza hivi hiko kibati kitaokoa kiasi gani sasa na kivipi?
Gari zinatengenezwa units nyingi..
Model moja wakitengeneza units 1,000,000..Milioni 1..
Kwenye kila unit wakisave 10 usd kwa kupachika dashboard..
Bado hujaiona savings hapo!!?

Ukiona gari YouTube haifiki spidi sababu ni haina uwezo.. Speedometer zimepachikwa.. Zenye uwezo zote zinafika..!

Kampuni za magari sio kwamba ziko perfect.. Zina mapungufu yake pia..
Kupachika speedometer ni moja wapo..
 
Gari zinatengenezwa units nyingi..
Model moja wakitengeneza units 1,000,000..Milioni 1..
Kwenye kila unit wakisave 10 usd kwa kupachika dashboard..
Bado hujaiona savings hapo!!?

Ukiona gari YouTube haifiki spidi sababu ni haina uwezo.. Speedometer zimepachikwa.. Zenye uwezo zote zinafika..!

Kampuni za magari sio kwamba ziko perfect.. Zina mapungufu yake pia..
Kupachika speedometer ni moja wapo..

Mkuu wala usisingizie perfection ya kampuni

Mbona wako wazi nisisi tu vichwa vigumu tusiopenda kuuliza na kujiaomea

Gari zote wametoa descriptions
Engine size,HP,na Top Speed

Sasa kosa lao liko wapi?wametudanganya wapi?

Ni wapi wamesema speedometer ndo TopSpeed?

Wala tusiwasingizie makampuni ya gari.
Hakuna usiri wowote kene hili

Ni kukalili kwetu na kutopenda kuuliza na kujifunza!
 
Mkuu wala usisingizie perfection ya kampuni

Mbona wako wazi nisisi tu vichwa vigumu tusiopenda kuuliza na kujiaomea

Gari zote wametoa descriptions
Engine size,HP,na Top Speed

Sasa kosa lao liko wapi?wametudanganya wapi?

Ni wapi wamesema speedometer ndo TopSpeed?

Wala tusiwasingizie makampuni ya gari.
Hakuna usiri wowote kene hili

Ni kukalili kwetu na kutopenda kuuliza na kujifunza!
Sure sure..!

Mayu Speedometer ni kifaa cha kukuonyesha unaenda kwa spidi fulani.. Sio top speed ya gari..!
 
Inasababishwa na nini Gari kudai Gia ikiwa Gia zimeisha kwa Manual?
 
Ni Toyota..
Reliable..
Kaa mbali na 1ZZ engine..
Tafuta 2ZZ engine.. Hii ni combination ya Toyota na Yahama.. Combination yao huwa inatoa engines zenye mlio tamu kwenye masikio..
Ukumbuke kuiendesha umeshusha vioo..
Kwa nini kutembea ameshusha vioo.
 
Back
Top Bottom