Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

Ina cc ngap? Ina hp ngapi

Nikujuze tu hako ka golf hakawezi fika 300kph watu wako kazini wanacheza na akili zenu

Ni wazi ukikuta kinglion piki piki yenye cc 150 Ina kibao Cha speed 200 na sinoray cc 150 kibao Cha speed 140 unaweza amini kinglion inakimbia zaidi na upo tayari ku pay more ukiamin pikipiki yenye hp10 inaweza fika 200kph Hulu XL250 yenye hp 25 ilishindwa fika in real life


Achana na readings za speedo meter binafsi naangalia gari lilivo na hp zake eg gari Kama crown, golf, na zinginezo likiwa na hp300 Ni nyingi Sana kibongo unaweza gawa dozi utakavo


Kuhusu speedo kusoma namba nyingi Ni swala la marketing tu

Ngoja nikupe mfano


Unakuta Audi wametengeneza A4 yenye body type nyingi kwanzia sedan mpaka station wagon I think


Pia gari moja linakuja na engine option nyingi kwanzia ndogo kabisa yenye 1.9L diesel Hadi 3L plus where hp inaanzia 80hp Hadi 256hp bila kukosea Sasa huwa some company wanatengeneza speedo meter wenyewe wengine wanatoa oda kwa makampuni mengine, gari lenye 256hp linakuja labda na speedo inayosoma Hadi 260kph na speedmeter hio hio inatumika kwenye gari lingne model moja engine ndogo 80hp ,, hivo watu wanashindwa elewa huwezi tengenezea kila gari speedometer Yake hapo ndo unakuta hata mtu hio engine ndogo anajipa moyo kwamba anaweza fika hio speed unaangalia specs za engine yake unabaki unacheka

Hii comment inafikirisha sana kiukweli

Kabla sijabisha ngoja nifanye research zangu vizuri

Kweli mnyama GTI kile kisahani cha 300 ni pambo?

Anyway we never stop learning

Ngoja ntarudi nkishaongeza maarifa!![emoji850]
 
Hii comment inafikirisha sana kiukweli

Kabla sijabisha ngoja nifanye research zangu vizuri

Kweli mnyama GTI kile kisahani cha 300 ni pambo?

Anyway we never stop learning

Ngoja ntarudi nkishaongeza maarifa!![emoji850]
[emoji23][emoji23]
 
Yaani Mjerumani adanganye Umma kuhusu Speed ?
Unadhani wanaonunua haya magari ni Wajinga kama sisi?
Kama hujui hii gari
Ingia Youtube utapata Maarifa ya Kutosha.
Speedometer zinapachikwa tuu.. Kuokoa gharama ya kutengeneza speedometer ya kila version ya gari..
 
Speedometer zinapachikwa tuu.. Kuokoa gharama ya kutengeneza speedometer ya kila version ya gari..

Sidhani kama hoja yako ina mashiko mkuu

Wenzetu wapo makini sana aisee na vitu vya uongo uongo kama hivi

Hivi hiko kisahani cha speed meter kina cost kiasi gani hadi wafanye huo upuuzi kuokoa gharama?
 
Yaani Mjerumani adanganye Umma kuhusu Speed ?
Unadhani wanaonunua haya magari ni Wajinga kama sisi?
Kama hujui hii gari
Ingia Youtube utapata Maarifa ya Kutosha.

Mkuu watu wanafananisha sana haya makampuni nguli na kampuni za michongo za kichina
 
Yaani Mjerumani adanganye Umma kuhusu Speed ?
Unadhani wanaonunua haya magari ni Wajinga kama sisi?
Kama hujui hii gari
Ingia Youtube utapata Maarifa ya Kutosha.
Nenda huko huko YouTube utaelewa ,, nitaftie gari yoyote yenye hp 230 inayoweza futa kisahani Cha 300kph au walau ifike 260kph huko YouTube,

Ukipata Leta link tukaangalia na sisi
 
Hii comment inafikirisha sana kiukweli

Kabla sijabisha ngoja nifanye research zangu vizuri

Kweli mnyama GTI kile kisahani cha 300 ni pambo?

Anyway we never stop learning

Ngoja ntarudi nkishaongeza maarifa!![emoji850]
Audi A4 na models nyingine nyingi inakuja na option za engine Kama Saba hivi Kuna yenye (hp 101) 1.6L na kubwa yenye hp 339hp na zote Zina kisahani kimoja Cha 260kph

Sasa kwa akili ya haraka haraka tu unataka sema gari zote zinaweza fua dafu kufika speed hio?

Kama yenye hp 230 top speed yake Ni somewhere 236kph Ina kisahani Cha 260kph , iweje yenye hp 120 ifike? Huwezi jaribu hata waza,, hizo gari Ni model Moja hawawezi tengeneza au kutoa oda ya speedo meter ya Kila version ya engine gari zote kwenye model hio zitakuja na speedo sawa


Another mfano

Sinoray 150cc bike Zina speedo yahadi 200kph hp yake Ni under 12hp haijazidi xLR 250Cc speedo yake Ni 160kph Ina hp 25

Kwa hio nyie mnaamini sinoray inaweza fika 200kph ikiwa boxer 150 Ina nguvu zaidi na xlr ina nguvu zaidi Ila haziwezi fika huko😁 hili Jambo liko wazi

Na gari zote zimetestiwa hata hio golf ya 300kph yenye 230kph ilitestiwa Germany Autobahn ikaishia 246kph , manufacturer wameshaacha room ya kufanya modification unaweza fanyia mapping Hilo gari likafika hp 400 plus linaweza fika 300kph kwa urahisi

Ingekuwa gari zote zenye speedometer yenye namba nyingi eg 240kph zinafika Basi tusingeangaika na version zingne za hayo magari ambazo Zina engine kubwa v6,v8 WOTE tungechukua ndogo I4 na tukafika hio speed mnayozania

Mfano wa mwsho

Kwenye series yarange Rover eg p38 , inakuja na engine tatu 4.0L 4.6L yenye 220hp ambayo Ni ndogo ya lc200 withover 260hp na 2.5L diesel engine 130hp hii Ni sawa na 1hz ,..je unaamin Hilo gari linaweza fika 220hp ikiwa 1hz haiwezi karibia hapo hata iwekwe diff yanamna gani hatagearbox ipi ili mradi Ni 1hz na ipo kwenye body yenye uzito usiopungua tani mbili Basi hio speed kwa range na gari zote zinazokuja na 1hz haziwezi toboa hio speed ikiwa Ni stock ,labda ukaboost power ya engine
 
Mkuu watu wanafananisha sana haya makampuni nguli na kampuni za michongo za kichina
Tunaomba mifano , jitahdi kabla ya ubishi jifunze Kwanza


Mimi Nina uzoefu au nikupe kazi ndogo Leta specs za engine yoyote mtandaoni we nambie tu Ina hp ngapi kwenye rpm ngapi na max torque yake me nitakwambia aina ya nafuta inatumia hio engine

Najua inafikirisha ila kalete specs zozote nitakujibu,

Kingne ukishakuwa mzoefu Ni Jambo rahisi Sana, me hata gari ije na speedo yenye namba ngap .Cha Kwanza nitaangalia specs za engine na ku compare na gari zingne zenye nguvu Kama hio Zina perfom vp, hivo nauwezo wa kujua hii inafika speed flan au haifiki kirahisi Sana, hata manufacturer wanaamin kwmba wakiweka gari mbili zenye engine sawa Moja ikawekwa spoiler na muonekano wa kijanja Kama sport flani hivi Bomba kubwa la Moshi sauti Nene afu ikawekwa speedo ya 240kph afu gari ya pili ikawa ya kawaida tu engine zote Ni sawa na ikaja na speedo ya 200kph Basi Ni wazi wengi watachukua Ile ya 240kph wakiamin zile namba na wengi ndo wanapigwa hapo watu WOTE duniani wako kibiashara haijalishi Ni Germany ama wapi Ni kucheza na akili ndo watu unakuta ana ka gari 4cyl 2L engine with no more than 170bhp afu speedo inasoma 260kph na yeye anajisifu kuwa ana gari inakimbia 😁 labda ule uwezo wa ku cross 180kph mark ya Toyota JDM Ila huko 260kph utapasikia kwa wenzio wenye gari sawa na yako model Kila kitu kasoro engine zao Ni kubwa zenye 250hp plus ndo watakuadisia maswala ya 260kph wewe na version ya engine yako ndogo huko hutofika kamwe
 
Sidhani kama hoja yako ina mashiko mkuu

Wenzetu wapo makini sana aisee na vitu vya uongo uongo kama hivi

Hivi hiko kisahani cha speed meter kina cost kiasi gani hadi wafanye huo upuuzi kuokoa gharama?
Gari zinatengenezwa sio kukusaidia mnunuzi.. Gari zinatengenezwa ili kampuni ipate faida.. Ni biashara..

Kwahiyo ujanja ujanja wa kukuza bidhaa kuliko uhalisia hiyo ni kawaida kwenye biashara..!
Speedometer ni marketing tuu..!
 
Audi A4 na models nyingine nyingi inakuja na option za engine Kama Saba hivi Kuna yenye (hp 101) 1.9l na kubwa yenye hp 255 na zote Zina kisahani kimoja Cha 260kph

Sasa kwa akili ya haraka haraka tu unataka sema gari zote zinaweza fua dafu kufika speed hio?

Kama yenye hp 230 top speed yake Ni somewhere 236kph Ina kisahani Cha 260kph , iweje yenye hp 120 ifike? Huwezi jaribu hata waza,, hizo gari Ni model Moja hawawezi tengeneza au kutoa oda ya speedo meter ya Kila version ya engine gari zote kwenye model hio zitakuja na speedo sawa


Another mfano

Sinoray 150cc bike Zina speedo yahadi 200kph hp yake Ni under 12hp haijazidi xLR 250Cc speedo yake Ni 160kph Ina hp 25

Kwa hio nyie mnaamini sinoray inaweza fika 200kph ikiwa boxer 150 Ina nguvu zaidi na xlr ina nguvu zaidi Ila haziwezi fika huko[emoji16] hili Jambo liko wazi

Na gari zote zimetestiwa hata hio golf ya 300kph yenye 230kph ilitestiwa Germany Autobahn ikaishia 246kph , manufacturer wameshaacha room ya kufanya modification unaweza fanyia mapping Hilo gari likafika hp 400 plus linaweza fika 300kph kwa urahisi

Ingekuwa gari zote zenye speedometer yenye namba nyingi eg 240kph zinafika Basi tusingeangaika na version zingne za hayo magari ambazo Zina engine kubwa v6,v8 WOTE tungechukua ndogo I4 na tukafika hio speed mnayozania

Mfano wa mwsho

Kwenye series yarange Rover eg p38 , inakuja na engine tatu 4.0L 4.6L yenye 220hp ambayo Ni ndogo ya lc200 withover 260hp na 2.5L diesel engine 130hp hii Ni sawa na 1hz ,..je unaamin Hilo gari linaweza fika 220hp ikiwa 1hz haiwezi karibia hapo hata iwekwe diff yanamna gani hatagearbox ipi ili mradi Ni 1hz na ipo kwenye body yenye uzito usiopungua tani mbili Basi hio speed kwa range na gari zote zinazokuja na 1hz haziwezi toboa hio speed ikiwa Ni stock ,labda ukaboost power ya engine

Mkuu nmekuelewa

“UNACHOSEMA NI SAHIHI”

hii ni baada ya kufanya reseach na kupitia YouTube

Nikweli kabisa ndo maana sikutaka kubisha ilibidi nirudi darasani kwanza kuongeza maarifa

Hapa nimeambatanisha screenshots

Gari Audi A4 2008-2011

Kila engine ina HP tofauti na Max speed hazilingani
Despite kisahau kule ndani vyote vinasoma 280km/L

Atakaebisha basi aje na facts

IMG_1188.jpg

IMG_1189.jpg
 
Sidhani kama hoja yako ina mashiko mkuu

Wenzetu wapo makini sana aisee na vitu vya uongo uongo kama hivi

Hivi hiko kisahani cha speed meter kina cost kiasi gani hadi wafanye huo upuuzi kuokoa gharama?
Iwe na mashiko iwe haina, lakini huo ndo ukweli,,, speedo Ni kukuonesha speed ulioko Ila haimaanishi ndo speed unaweza fika..


Na wengi mnaobisha na wale mnaodhani model Moja ya gari inakuja na engine Moja


Kwenye Audi A4 tu Kuna engine ndogo kabisa ya petrol yenye 1.6l 101hp na engine kubwa kabisa yenye 4.2L v8 339hp

Gari zote Zina speedo sawa ..hio 1.6L 101hp petrol top speed Ni 190kph na 1.9L TDI 112hp top speed Ni 201kph zote kisahani kinakuja na 260kph

Katika version zote hizo inayoweza fika 260kph Ni petrol kwanzia 3.2L V6 255Hp upande wa diesel hakuna
Note: hii Ni kwa Audi A4 third generation (b7)
 
Shukrani mkuu at least umeonesha busara sio kubisha Kama wale wanaosema m jerumani hawezi danganya ,,, umekuja na ushahd

Ubarikiwe
Mkuu nmekuelewa

“UNACHOSEMA NI SAHIHI”

hii ni baada ya kufanya reseach na kupitia YouTube

Nikweli kabisa ndo maana sikutaka kubisha ilibidi nirudi darasani kwanza kuongeza maarifa

Hapa nimeambatanisha screenshots

Gari Audi A4 2008-2011

Kila engine ina HP tofauti na Max speed hazilingani
Despite kisahau kule ndani vyote vinasoma 280km/L

Atakaebisha basi aje na facts

View attachment 2569781
View attachment 2569782
 
Shukrani mkuu at least umeonesha busara sio kubisha Kama wale wanaosema m jerumani hawezi danganya ,,, umekuja na ushahd

Ubarikiwe

Napenda sana kujifunza kitu ambacho sijui

Nashukuru pia umetufumbua macho

Nlipenda hoja zako zilikuwa na facts HP vs TopSpeed

Nazani umetufindisha jambo watu wengi

Si ajabu PASSO haifiki 180km/h [emoji23] japo ina kisahani cha 180(nataniaa….)
 
Ile yenye 1KR 990cc nadhan hakafiki😄
Napenda sana kujifunza kitu ambacho sijui

Nashukuru pia umetufumbua macho

Nlipenda hoja zako zilikuwa na facts HP vs TopSpeed

Nazani umetufindisha jambo watu wengi

Si ajabu PASSO haifiki 180km/h [emoji23] japo ina kisahani cha 180(nataniaa….)
 
Gari zinatengenezwa sio kukusaidia mnunuzi.. Gari zinatengenezwa ili kampuni ipate faida.. Ni biashara..

Kwahiyo ujanja ujanja wa kukuza bidhaa kuliko uhalisia hiyo ni kawaida kwenye biashara..!
Speedometer ni marketing tuu..!

Mkuu mambo ya speed sio sawa na labda ujazo au urefu au uzito kwamba unaweza ukapima tu hapo hapo na kupata majibu....... haipo hivyo haswa kwenye kutafuta speed ya mwisho ya gari

Kuna factors nyingi sana zinazosababisha speed iweje
Na ndio maana magari mengi yanayopimwa huko Youtube huwa hayafiki speed ilioandikwa

Hoja ilionitatiza sana mimi ni kusema eti sijui ni (uvivu au kuokoa gharama) kwamba makampuni yanaamua kutengeneza kibati kimoja cha speed kwa magari yote yaliotofauti badala ya kutengeneza kulingana na calculations zao kwa kibati kwa kila gari
Ndio nikauliza hivi hiko kibati kitaokoa kiasi gani sasa na kivipi?
 
Iwe na mashiko iwe haina, lakini huo ndo ukweli,,, speedo Ni kukuonesha speed ulioko Ila haimaanishi ndo speed unaweza fika..


Na wengi mnaobisha na wale mnaodhani model Moja ya gari inakuja na engine Moja


Kwenye Audi A4 tu Kuna engine ndogo kabisa ya petrol yenye 1.6l 101hp na engine kubwa kabisa yenye 4.2L v8 339hp

Gari zote Zina speedo sawa ..hio 1.6L 101hp petrol top speed Ni 190kph na 1.9L TDI 112hp top speed Ni 201kph zote kisahani kinakuja na 260kph

Katika version zote hizo inayoweza fika 260kph Ni petrol kwanzia 3.2L V6 255Hp upande wa diesel hakuna
Note: hii Ni kwa Audi A4 third generation (b7)

Kupima speed ya mwisho ya gari sio sawa na kupima uzito au ujazo au urefu mkuu

Speed unazoziona kwenye speedometer zipo sahihi kwenye ulimwengu wa magari na sio “za uongo” kama ulivozi label

Sio lazima gari lifike speed ya mwisho na katika uhalisia kabisa ni marachache sana unaweza kupata mzingira labda ukaendesha comfortably kwenye barabara speed ya 300kph

Kila kifaa kulingana na ilivyotengenezwa ina mwisho wa speed ya ambayo kifaa hicho inaweza kuhimili na dereva akawa anaweza ku control gari baada ya hapo ni majanga
Ndio maana kuna magari yana Hp kubwa lakini speed ndogo

Kuna factors nyingi sana za kuzingatia ili gari kupata speed yake ya mwisho(na hii ipo hata kwenye speed ya kawaida pia)

Watengenezaji wa magari huwa wanaweka speedometer baada ya majaribio ya kimaabara ambayo hutengenezewa mazingira kwamba factors zote zipo sawa lakini ukija barabarani kupata hizo factors ni mtihani

Kuhusu ku order kibati sawa kwa magari tofauti bado naona ni hoja dhaifu sana mkuu.

Shida ni kwamba tunakimbilia youtube nankuamini zile video zinatoa majibu kama vile umepima unga kilo moja ipo net
 
Kupima speed ya mwisho ya gari sio sawa na kupima uzito au ujazo au urefu mkuu

Speed unazoziona kwenye speedometer zipo sahihi kwenye ulimwengu wa magari na sio “za uongo” kama ulivozi label

Sio lazima gari lifike speed ya mwisho na katika uhalisia kabisa ni marachache sana unaweza kupata mzingira labda ukaendesha comfortably kwenye barabara speed ya 300kph

Kila kifaa kulingana na ilivyotengenezwa ina mwisho wa speed ya ambayo kifaa hicho inaweza kuhimili na dereva akawa anaweza ku control gari baada ya hapo ni majanga
Ndio maana kuna magari yana Hp kubwa lakini speed ndogo

Kuna factors nyingi sana za kuzingatia ili gari kupata speed yake ya mwisho(na hii ipo hata kwenye speed ya kawaida pia)

Watengenezaji wa magari huwa wanaweka speedometer baada ya majaribio ya kimaabara ambayo hutengenezewa mazingira kwamba factors zote zipo sawa lakini ukija barabarani kupata hizo factors ni mtihani

Kuhusu ku order kibati sawa kwa magari tofauti bado naona ni hoja dhaifu sana mkuu.

Shida ni kwamba tunakimbilia youtube nankuamini zile video zinatoa majibu kama vile umepima unga kilo moja ipo net

Fanya tena homework yako vizuri
 
Watengenezaji wa magari huwa wanaweka speedometer baada ya majaribio ya kimaabara ambayo hutengenezewa mazingira kwamba factors zote zipo sawa lakini ukija barabarani kupata hizo factors ni mtihani
😄😄 Kampuni gani hio😄

Hii mada ishaisha pitia vitabu vyako
 
Kuhusu ku order kibati sawa kwa magari tofauti bado naona ni hoja dhaifu sana mkuu.
Kwa hio wewe unahisi ukiekewa kibati Cha 300kph Basi we utaelewa ndo maximum speed gari hio inaweza fika?

Tuna Safari ndefu Sana
Nkujuze pia

Gari nyingi zenye top speed ya 320-360 Zina kibati Cha 400kph..na hizo gari huwa Zina hp Kati ya 600 Hadi 800hp


Hata me gari yangu nikitengeneza nikapima kwenye runaway nenda rudi nikapata average ya round mbili Ni maximum 220kph kibati kitakuwa Cha kwanzia 240

Hio Ni kawaida manufacture wengi wanafanya hvyo ..pia tambua speedo reading haimaanishi ndo speed unaweza fika ya mwsho gari inaweza kuwa inaweza zidi hapo mfano Audi hizo hizo inayotumia engine ya petrol v8 339hp hio inazidi kabisa 260kph ila ipo electronically limited to 255kph na inaweza kuwa na kibati Cha 260 ama 280kph

Hakuna sehemu wameandika kuwa kibati Cha gari ndo maximum speed
 
Back
Top Bottom