Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers

Hao ni Makomandoo

Na value ya Komandoo nadhani unaijua

Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200

Sasa hapo ni swala la hesabu
Yaan komandoo mmoja anaweza sambaratisha wanajeshi wakawaida 200? Mbna km ni mambo ya kwenye movie
 
Kwenye Peace keeping waluga luga ndio tunaonekana๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Kwamba Urusi au Marekani waweke taharifa zao za kijeshi mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ